Ubora wa degree za UDOM na St Joseph

hyu n kati ya watu ambao wanaishi kw kukariri na ninawasi wasi hta na ufaulu wke..nowdays elimu haipimwi kwa ukongwe wa chuo bali ni facilities zipatikanazo..hyo UDSM bora E.A anayoizungumzia yeye n ya enzi za akina Samwel Sitta n si hii ya wataalam wa migomo ambao wanakaa nyumban miez 2 ndan ya semester..njoo hku kwny ajira ndo utaon wenzio wanavyojut Kupoteza muda wao hpo Udsm!
 
vyuo hivi serikali inapotoka havina viwango tusiharakishe kwa kupata wasomi fake,St.joseph waalim fake last yr kulikuwa na doctorate moja tena kaondoka...nyingine ni principal hao wengine wahind wana masters za kuunga taarifa zilifika had kwa pinda ihakuna ufatiliaj..engineer alisoma EGM si utan,udom siasa wapi tunakwenda

Mimi sijasoma katika mfumo wa vyuo vya hapa Tz. Nilisoma nje ya Tanzania. Ila kwa sasa nipo Open University of Tanzania - najilinganisha na kuku wa kujitafutia chakula [kuku wa kienyeji na siyo wa kizungu (plastic chicken)]. Naungana n wale wanaosema tatizo si chuo ni mwanachuo mwenyewe. Binafsi, sipati muda wa kuhudhuria tuition maana namaliza kazi kwenye saa tatu hivi usiku. Ila najinunulia vitabu na kujisomea nyumbani kwa kufuata 'course outlines' za masomo niliyochagua na I'm happy with what I'm doing - what I study and understand I know it and what I don't understand, I don't know!
 
Elimu ya Tanzania imejaa siasa, kuna chuo wanatoa diploma ya IT kwa 6mönths. Tatizo ni TCU na NACTE wanafanya assesments wakiwa kwenye ofisi zao. Kuna shule nyingi za kitapeli. Elimu ya Tanzania kila sehemu corrupted.
 
Kaka mb0na nimepangwa mucobs t means hakina ubora au? Duh naächa chuo..<br />
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;
<br />
<br />
dogo huo ni utani wa kishule 2,we nenda kapge kitabu,muccobs co wabaya sana hasa kwa accounting.
 
UDOM ni chuo cha vilaza hatasikumoja huwezi kuta mtu mwenye div one ya ukweli akapangwa UDOM.Kule wanaenda wajinga ili waje kuwa makada wa CCM Tu.st joseph napo wizi mtupu hamna chochote si lolote.Chuo chenye hadhi na heshima Tanzania Ni UDSM peke yake.Pia hata kwenye interview huwa wanafukuzwaga kama jibwa koko.

Tatiza la sisi watanzania ni ushabiki kama ww menny terry,hivi kusoma udsm ndounapata ajira siku ya kuhitimu ujue matatizo ya udom sio wanafunzi kama ww bali ni mfumo mzima wa nchi ndo mbovu.kwani kama kusoma udsm kigezo kufaulu mbona udom wapo waliofaulu tena nadhani zaidi yako hata ww na wengine wengi hapo udsm lakini walichagua udom au tcu ili wapangia udom. so ww unaipenda udsm kwa sababu ya hadhi na heshima lakini hufikirii utafanya nn kuisaidia udom na Tanzania kwa ujumlacoz udom haipo congo wala zambia ni TZ hapa hapa so niwajbu wetu sisi kama wasomi,wakulima,wafanyakazi n.k watanzania kupigania ubora waelimu yetu sio kupondana kama mjuha. Remember JF for great thinkers.
 
Sitaki kuhamini kuwa wewe ni mdau wa elimu maana mawazo yako hayapo kabisa katika ulimwengu wa wasomi........kila chuo kina faculty ambazo wanafunzi wanavutiwa nazo kwahiyo kuna watu wana div 1 na 2 wameenda UDOM kutokana na hizo faculty ambazo UD hawana na kuna div 3 kibao tu zipo UD kutokana na facult ambazo hazina upinzani,kwahiyo inaonekana wewe hata O level ujamaliza maana hayo uliyoyaongea hapo msomi hawezi kuthubutu kuyaongea hata kama anaulimbukeni wa chuo.
 
Sitaki kuamini kuwa wewe upo katika ulimwengu wa wasomi ambao wanaweza kutoa mawazo yao na yakasikilizwa,kwa ufupi ni kwamba wanafunzi wanajaza vyuo kutokana na upendeleo wa huyo mwanafunzi na kwa upande wa UDOM kuna faculty ambazo hazipo UD kwahiyo kuna wanafunzi wamevutiwa nazo inabidi wachague bila kuangalia eti chuo cha siasa au vp na unakuta mtu kapiga div 1 au 2 yake safi na kuna wengine wako UDSM halafu wana div 3 zao kwahiyo ni vitu vya kawaida mwisho wa siku network ndo itakuweka ofisini na sio kelele za chuo hiki kizuri.
 
kaka UDSM ubora wake upo kwenye kiswahili hiyo iko wazi kabisa lakini sehemu zingine yote ni yale yale na kuhusu kumwambia mtu ubora wa kitu sio mpaka ashuhudie yeye hata wadogo zake au kaka zake wanaweza kuwa wamesoma hapo UDSM na kama unataka ushahidi ni-inbox nikupe ushahidi wa watu wanaosoma pale na wanajuta kwanini kufahuru kwao kumewaponza.Na hivyo vingine ulivyo sema atleast basi ndo atmost maana huwezi kulinganisha chuo kama mzumbe,sua na ardhi eti na udsm maana bachelor nyingi za hivyo vyuo hazipatikani mahala pengine hapa Tanzania.
 
Nyie bishaneni 2,mkimalza thn mkaja kitaa ndo mtajua ka kuna cha udsm,sua,iaa,udom au mzumbe.
 
sasa we umesoma cjui muccobs,ubora wa ud utaujulia wap mkuu?tanzania kuna vyuo vkuu viwil,ud na sua,atleast mzumbe,udom,ifm,muhas na ardhi nao wanafanya vzr!hvo vlvobaki haijulikan kama ni vyuo au secondary,hutaki chukua bango uandamane..
<br />
<br />
 
vijana wengi wakitanzania ni mashabiki, kwanza ni utoto kusema chu flani kizuri kuliko kingine...badala ya kusoma mnakariri vyuo, njooni kwenye ajira muone kila chuo kina umuhimu wake mf. Kwa mara ya kwanza tanzania degree ya utalii imetoka tumaini angalia ajira ya utalii ilivyobebwa na watumaini vivyo hivyo kwa vyuo vingine. Washamba ndi wanalilia ud. Tuwe thinkers na wala ushabiki na ubumbavu hautatusaidia. Eti leo nataka utaalam wa kilimo niende ud huo ni utoto.
 
"fact fight for itself"
hakuna chuo bora bongo viko vyenye nafuu tu,tofautisha chuo kipya na chenye muda.kama wewe ni critical thinker huwezi kulinganisha udsm chenye miaka zaidi 30 na st.john chenye less than 5 years. Rudia chekechea inaelekea hujapitia ndio maana una mere discussion.
 
UDOM ni chuo cha vilaza hatasikumoja huwezi kuta mtu mwenye div one ya ukweli akapangwa UDOM.Kule wanaenda wajinga ili waje kuwa makada wa CCM Tu.st joseph napo wizi mtupu hamna chochote si lolote.Chuo chenye hadhi na heshima Tanzania Ni UDSM peke yake.Pia hata kwenye interview huwa wanafukuzwaga kama jibwa koko.
Kwa akili yako ndogo umekariri kua chuo kikuu ni UDSM tu,badilisha msimamo mkuu chuoni huwa ni juhudi binafsi juu ya kuatafuta elimu,kama unatarajia jina la chuo litakujengea misingi bora ya elimu na ufanisi katika maisha basi unajidanganya!
Vyuo vyote vinatoa elimu Bora kama wanafunzi wenyewe wanajituma na kuwa makini zaidi.
Unapo compare UDOM na UDSM kua viwe sawa haiwezekani,sawa na kulinganisha Shule za Kata na Pugu sekondaria au shule nyingine Kongwe nchini.Ni lazima ufikirie kwa makini kabla ya kuropoka,siku zote mwanzo ni mgumu.Hakuna anayefikia juu bila kuanzia chini.Hivyo usipende kusifia tu et kwa sababu we ni mdau eneo husika.Kwa ufahamuwangu najua Elimu bora inategemeana na Juhudi yako binafsi!
Unaweza kua unasoma UDOM na Ukawa na ushirikiano na watu UDSM au vyuo vingine na ukawa bora na better perfomance!
 
Baada ya kufuatilia malumbano yenu naamini kitu kimoja. Elimu Tanzania imeshuka sana. Sioni mshiriki anayepanga vizuri mawazo yake na kuyawasilisha katika mjadala kisomi. Washiriki wengi wanachanganya kiingereza na kiswahili na kunionyesha kuwa hawajui lugha zote mbili. Kama wewe ni msomi wa chuo kikuu inabidi utuonyeshe kuwa kweli unaijua lugha unayoitumia kuwasilisha mawazo yako na mawazo yako hayo umeyapangilia vizuri.

Quo vadimus?
 
Baada ya kufuatilia malumbano yenu naamini kitu kimoja. Elimu Tanzania imeshuka sana. Sioni mshiriki anayepanga vizuri mawazo yake na kuyawasilisha katika mjadala kisomi. Washiriki wengi wanachanganya kiingereza na kiswahili na kunionyesha kuwa hawajui lugha zote mbili. Kama wewe ni msomi wa chuo kikuu inabidi utuonyeshe kuwa kweli unaijua lugha unayoitumia kuwasilisha mawazo yako na mawazo yako hayo umeyapangilia vizuri.

Quo vadimus?
Haya Bwana nimekupata ila saa nyingine unalazimika kutumia lugha yoyote ilmradi ujumbe ufike.
 
vyuo hivi serikali inapotoka havina viwango tusiharakishe kwa kupata wasomi fake,St.joseph waalim fake last yr kulikuwa na doctorate moja tena kaondoka...nyingine ni principal hao wengine wahind wana masters za kuunga taarifa zilifika had kwa pinda ihakuna ufatiliaj..engineer alisoma EGM si utan,udom siasa wapi tunakwenda

Hii hali ccm ndo wameipenda na kuikumbatia
 
Back
Top Bottom