sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
Usiseme kama mtu aliyechanganyikiwa, nape tayari alishachanganyikiwa siku nyingi, bahati mbaya wanaCCM pamoja na mwenyekiti wao bado hawajalijua hilo.
Anatia aibu sana.......kilaza haswa!
Usiseme kama mtu aliyechanganyikiwa, nape tayari alishachanganyikiwa siku nyingi, bahati mbaya wanaCCM pamoja na mwenyekiti wao bado hawajalijua hilo.
Unanikumbusha kaya moja iliyokuwa na njaa, mama wa watoto saba aliichika chungu jikoni akiwa ameweka mawe na kufunika, watoto walisubiri chakula kiive mwishowe usingizi uliwashika wakalala. Mama aliipua mawe yake na kuwalaza watoto siku ikapita. Ndivyo wajinga kama wewe mnavyofanyiwa na CCM na bado mnaipokengeza na kuitetea kwa nguvu kama mazuzu!
Magwanda ya khaki si ndio wanapita kudanganya watu na kurukia hoja za watu, umesahau? Mwakyembe kawashushua utam kweli kuhusu CAG.
Wajinga tu, cdm hawana lolote.
Wajinga tu, cdm hawana lolote.
Kwa uongo huu hata shetani atamkana Nepi kuwa hajamfundisha hivyo....yalaaniwe magamba yote yaliyokuwepo Cdm square!!!Shenzi taipu!!!
We nae kumbe ni wale wale......hivi kwani kuna waziri aliyeongea chochote cha maana?.....utanisamehe manake mie nimesikia mipasho tu!
Ile ilkuwa sio mipasho, zile nondo mama, mipasho bado siku yake.
Siku ya mipasho pale tunamsimamisha Khadija Kopa akishuka anapanda Kaptein Komba. Patakuwa hapatoshi.
Wale walikuja kuwapa nondo msiwe mnadanganya danganya watu.
Kwa uongo huu hata shetani atamkana Nepi kuwa hajamfundisha hivyo....yalaaniwe magamba yote yaliyokuwepo Cdm square!!!Shenzi taipu!!!
Roho zinawauma nyinyiemu kwa kuandaa kadi feki na siku zote uongo unajitenga panapo ukweli nakuuliza ww gamba zomba zile kadi mliziprint wapi?Lazima urudishe pesa ya Nepi lengo halijafanikiwa....Roho zinawauma sana na mmekatishwa tamaa vibaya sana.
Hili jamaa kumbe lilevi hata wassira ana afadhali maskini...kulikuwa na nondo gani pale zaidi ya mipasho iliyokuwepo?kwa nini mlimaliza kabla ya muda?Mmekwishaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!Ile ilkuwa sio mipasho, zile nondo mama, mipasho bado siku yake.
Siku ya mipasho pale tunamsimamisha Khadija Kopa akishuka anapanda Kaptein Komba. Patakuwa hapatoshi.
Wale walikuja kuwapa nondo msiwe mnadanganya danganya watu.
Kilaza bana ....sasa cha kukatisha tamaa ni kipi?Roho zinawauma sana na mmekatishwa tamaa vibaya sana.
kilaza bana ....sasa cha kukatisha tamaa ni kipi?