mbasamwoga
Member
- Jul 6, 2011
- 70
- 12
Fedha zetu yaani sarafu na noti sio imara hata kidogo, sarafu zetu ikidondoka arhini baada ya wiki haitamaniki tena kutokana na kushika kutu,noti zetu mpya ndio kabisaa inaghushika kama njugu mitaani na inachakaa kwa haraka zaidi. Je hasara hizi za fedha kuoza na kuchanika ovyo ovyo mbona mamlaka husika zimekaa kimia? Sarafu za mkoloni yenye miaka hamsini hata leo ukiichimbua ni myaaaa?????