UBISHI:Mtanzania ,Mrusi na Mchina,nani ana technology nzuri

Saint Ivuga

JF-Expert Member
Aug 21, 2008
54,363
58,386
kulitokea ubishi kati na mrusi mtz na mchina ..wote walikuwa wanabishana ni nani mwenye technology nzuri
Mrusi:Kuna mtoto alikatika mguu tukauunganisha sasa hivi huyo kijana ni mwana athletic mzuri na ana medali za dhahabu.
Mchina: Sisi kuna mtoto alikatika mkono tukamuungaisha sasa hivi ni mtaalamu mkubwa kwenye kampuni la kutengeneza software.
Mtanzania:Kuna mtoto kule bagamoyo alikatika kichwa tukamuwekea Nazi sasa hivi kawa rais
 
kulitokea ubishi kati na mrusi mtz na mchina ..wote walikuwa wanabishana ni nani mwenye technology nzuri
Mrusi:Kuna mtoto alikatika mguu tukauunganisha sasa hivi huyo kijana ni mwana athletic mzuri na ana medali za dhahabu.
Mchina: Sisi kuna mtoto alikatika mkono tukamuungaisha sasa hivi ni mtaalamu mkubwa kwenye kampuni la kutengeneza software.
Mtanzania:Kuna mtoto kule bagamoyo alikatika kichwa tukamuwekea Nazi sasa hivi kawa rais

Out of time mjomba katafute nyingine,kwani lazima hii tu kila siku?aghh
 
kulitokea ubishi kati na mrusi mtz na mchina ..wote walikuwa wanabishana ni nani mwenye technology nzuri
Mrusi:Kuna mtoto alikatika mguu tukauunganisha sasa hivi huyo kijana ni mwana athletic mzuri na ana medali za dhahabu.
Mchina: Sisi kuna mtoto alikatika mkono tukamuungaisha sasa hivi ni mtaalamu mkubwa kwenye kampuni la kutengeneza software.
Mtanzania:Kuna mtoto kule bagamoyo alikatika kichwa tukamuwekea Nazi sasa hivi kawa rais
hahaaaaaaaaaaaaaaaaaa una utani na HB wetu ww nakuona ...........hujui ni mtu wa watu huyu a.k.a tabasam nipate furaha nataka nikuone ukicheka baby taaaaaaaaaaaaaabasam nipate faraja
 
kulitokea ubishi kati na mrusi mtz na mchina ..wote walikuwa wanabishana ni nani mwenye technology nzuri
Mrusi:Kuna mtoto alikatika mguu tukauunganisha sasa hivi huyo kijana ni mwana athletic mzuri na ana medali za dhahabu.
Mchina: Sisi kuna mtoto alikatika mkono tukamuungaisha sasa hivi ni mtaalamu mkubwa kwenye kampuni la kutengeneza software.
Mtanzania:Kuna mtoto kule bagamoyo alikatika kichwa tukamuwekea Nazi sasa hivi kawa rais

Tehetehteh.......... thnx mkuu u made my day!!! sasa nimeshaelewa ndio mana kilaza.
 
Back
Top Bottom