Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
kulitokea ubishi kati na mrusi mtz na mchina ..wote walikuwa wanabishana ni nani mwenye technology nzuri
Mrusi:Kuna mtoto alikatika mguu tukauunganisha sasa hivi huyo kijana ni mwana athletic mzuri na ana medali za dhahabu.
Mchina: Sisi kuna mtoto alikatika mkono tukamuungaisha sasa hivi ni mtaalamu mkubwa kwenye kampuni la kutengeneza software.
Mtanzania:Kuna mtoto kule bagamoyo alikatika kichwa tukamuwekea Nazi sasa hivi kawa rais
Mrusi:Kuna mtoto alikatika mguu tukauunganisha sasa hivi huyo kijana ni mwana athletic mzuri na ana medali za dhahabu.
Mchina: Sisi kuna mtoto alikatika mkono tukamuungaisha sasa hivi ni mtaalamu mkubwa kwenye kampuni la kutengeneza software.
Mtanzania:Kuna mtoto kule bagamoyo alikatika kichwa tukamuwekea Nazi sasa hivi kawa rais