Ubeberu wa bodi ya mikopo

Ng'wamagigisi

Member
Jan 3, 2011
35
1
Toka Bodi ya Mikopo ianze shughuli ya kukusanya mikopo yake iliyotoa imekua ikichukua fixed amount kati ya Sh.10,000 na 30,000 ya basic salary ya waajiriwa wote. Saizi imetoa maelekezo kwa waajiri wote kuwa kuanzia mwezi Oktoba,2012 waajiri wote wawakilishe 8% ya basic salary za waajiriwa wote wenye mikopo HESLB. Kwanza sielewi huu uamuzi umejadiliwa wapi mpaka ukapitishwa, pili ni kwanini wanafanya mabadiliko kama haya kimya kimya tatu hivi kweli na mishahara yetu ya kibongo bongo ambayo inakatwa PAYE, NSSF/PPF, Skill Development Levy etc uongeze na 8% ya hawa jamaa kwei tutabaki na nini. Huku kama sio kulazimisha watumishi hasa wa serikali na mashirika ya umma kuongeza viwango vya rushwa wanazotaka ni nini...km serikali imeishiwa pesa na mawazo ya kubuni njia sahihi zisizo za kibeberu za kupata pesa kwanini wasiombe mawazo ya wananchi??!!
 
toeni pesa za uma na wengine wasaidiwe sisi sote ni watanzania:A S angry:
 
lipeni bwana! Aaaargh hata ingekuwa laki moja

kaka usikurupuke au mwenzetu ,ndiyo wale wale(familia za kifisadi) mimi mshahara wangu basic yake ni 420,000/=

420,000/= - PAYE (54600TSH)
- NSSF (42,000 TSH.)
-Chama cha wafanyakazi(12600 TSH)
- Skill Development levy(8400)
-(8%) Loan board.(33600 TSH.)
Balance:268800TSH

unga NUSU 500 x30 kwa mwezi=15000/=
sukari kilomoja 2000x5 kwa mwezi= 10000
Nauri daladala kwa mwezi 30000/=
matumizi madogo madogo ya nyumbani 5000x30 = 150,000
chumba mabibo mwisho (viwili) kwa mwezi 70,000 /=
Umeme kuchangia kwa mwezi 10,000/=
mtoto wangu anasoma shule ya kata , kwa mwenzi 1000x30 = 30,000/=

Matumizi yote ni 315,000/=


(Balance -matumizi yote) = 268800 - 315,000= -46200 TSH

Jamani hii pesa (-46200 TSH) naitoa wapi.

Halafu mkuu Mdunya unataka tukatwe laki moja na loan board?
 
jaman hii pesa inaitwa mkopo co pesa ya bure kwa hyo lazma 2lipe2 wanavyotaka wao kwa sababu 2mekubali kukopeshwa
 
Kukopa mmmmmmmmm kulipa matanga,lipeni na wengine wasome, kama mnataka za mafisadi si uende ukamuombe na kama unahasira zaidi jiue au muue fisadi.
 
kaka usikurupuke au mwenzetu ,ndiyo wale wale(familia za kifisadi) mimi mshahara wangu basic yake ni 420,000/=

420,000/= - PAYE (54600TSH)
- NSSF (42,000 TSH.)
-Chama cha wafanyakazi(12600 TSH)
- Skill Development levy(8400)
-(8%) Loan board.(33600 TSH.)
Balance:268800TSH

unga NUSU 500 x30 kwa mwezi=15000/=
sukari kilomoja 2000x5 kwa mwezi= 10000
Nauri daladala kwa mwezi 30000/=
matumizi madogo madogo ya nyumbani 5000x30 = 150,000
chumba mabibo mwisho (viwili) kwa mwezi 70,000 /=
Umeme kuchangia kwa mwezi 10,000/=
mtoto wangu anasoma shule ya kata , kwa mwenzi 1000x30 = 30,000/=

Matumizi yote ni 315,000/=


(Balance -matumizi yote) = 268800 - 315,000= -46200 TSH

Jamani hii pesa (-46200 TSH) naitoa wapi.

Halafu mkuu Mdunya unataka tukatwe laki moja na loan board?
sadaka namichango ya kijamii umeiacha wapi?
 
mbona wengine hiyo 8% tumeanza kukatwa toka 2010? kula joto ya jiwe, walikuwa wamekulia pozi kwanza.
 
Halafu ukienda ofisini kwao hadi mfagizi amepaki Rav 4! Haya majamaa yana maamuzi ya kukurupuka kweli! Mkuu hapo kwenye makato sijaona NHIF achiliambali michango ya harusi!
 
kaka usikurupuke au mwenzetu ,ndiyo wale wale(familia za kifisadi) mimi mshahara wangu basic yake ni 420,000/=

420,000/= - PAYE (54600TSH)
- NSSF (42,000 TSH.)
-Chama cha wafanyakazi(12600 TSH)
- Skill Development levy(8400)
-(8%) Loan board.(33600 TSH.)
Balance:268800TSH

unga NUSU 500 x30 kwa mwezi=15000/=
sukari kilomoja 2000x5 kwa mwezi= 10000
Nauri daladala kwa mwezi 30000/=
matumizi madogo madogo ya nyumbani 5000x30 = 150,000
chumba mabibo mwisho (viwili) kwa mwezi 70,000 /=
Umeme kuchangia kwa mwezi 10,000/=
mtoto wangu anasoma shule ya kata , kwa mwenzi 1000x30 = 30,000/=

Matumizi yote ni 315,000/=


(Balance -matumizi yote) = 268800 - 315,000= -46200 TSH

Jamani hii pesa (-46200 TSH) naitoa wapi.

Halafu mkuu Mdunya unataka tukatwe laki moja na loan board?

mkuu Jangakuu, usitegemee mshahara kufanya kila kitu. Lazima uwe na vyanzo vingine. Hata wanaolipwa 1 mil anaweza kuainisha haya yote na pesa ikaisha. Miradi mkuu!
 
Michango ya harusi na sadaka mnatoa, kwa nini msilipe ili taifa lisomeshe wengine? Acheni ubinafsi.
 
mkuu Jangakuu, usitegemee mshahara kufanya kila kitu. Lazima uwe na vyanzo vingine. Hata wanaolipwa 1 mil anaweza kuainisha haya yote na pesa ikaisha. Miradi mkuu!

mkuu, sio kama hatutaki kufanya biashara tatizo mitaji mkuu , mishaara ni midogo mkuu, hauna hata cha kusave pesa yote inaishia kwenye matumizi ya kawaida mkuu.
 
mimi namalizzzza mwaka wa tatu na sijalipiwa na hako ka bodi kenu kalininyima nikajipiga piga plus wazazi ikawa poa NYIE TOENI ELAAAAA HATA LAKI TATU
 
Nasikitika kwamba katka janvi hili bado kuna mafisadi ambao hawataki kulipa mkopo wa Bodi ili nasi tupate kukopeshwa,huu ni ufisadi. hivyo hata huyu mkuu aliyeleta hii mada hapa naye ni fisadi.Tena mkopo wenyewe unalipa kwa % yaan salary ikiwa kubwa unakatwa amount kubwa na ikiwa ndogo unakatwa amount kidogo.Lipeni mkopo bwana sio vizuri kukwepa.
 
mkuu, sio kama hatutaki kufanya biashara tatizo mitaji mkuu , mishaara ni midogo mkuu, hauna hata cha kusave pesa yote inaishia kwenye matumizi ya kawaida mkuu.

ujasiriamali mtaji ni akili yako na si pesa. Azam ni kampuni tajiri sababu ya akili na si pesa.
 
Back
Top Bottom