Borakufa
JF-Expert Member
- May 26, 2011
- 1,503
- 390
Hasan Marini wa TBC siku moja alikuwa achezee kichapo toka kwa wafuasi wa cdm mahakamani arusha, jamaa walikuwa wanamtoa kwa nje ya mahakama wakidai hawataki tbc kuonyesha chcht juu ya kesi ile eti kwa kuwa siku hizi tbc ni ccm! nusuri kwake ilikuja pale alipojitete tena kwa sauti kubwa! angekuwa yeye ndiye mwenye hiyo tbc isingekuwa kama ilivyo lakini kinachotokea sasa wameamrishwa kufanya hivyo aliwasihi jamaa wasimdhuru!
Angalieni nanyi watangazaji wa clouds watu weshaanza kuwachukia! Watch out!
Angalieni nanyi watangazaji wa clouds watu weshaanza kuwachukia! Watch out!