Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 10,716
- 15,275
Mlevi Mmoja Alibatizwa
akazamishwa majini
Mchungaji akasema
tangu sasa hautaitwa
RAHIMU utaitwa Yohana
Umekua kiumbe kipya.
Mlevi alipofika
Nyumbani akachukua
BIA akaitumbukiza
kwenye ndoo ya maji
akasema kuanzia sasa
hutaitwa TUSKER
utaitwa FANTA alafu
akainywa......!!!!!
...!!!!!.tafakari chukua
hatua...ULEVI
NOMAAAA..
akazamishwa majini
Mchungaji akasema
tangu sasa hautaitwa
RAHIMU utaitwa Yohana
Umekua kiumbe kipya.
Mlevi alipofika
Nyumbani akachukua
BIA akaitumbukiza
kwenye ndoo ya maji
akasema kuanzia sasa
hutaitwa TUSKER
utaitwa FANTA alafu
akainywa......!!!!!
...!!!!!.tafakari chukua
hatua...ULEVI
NOMAAAA..