Ubatizo

Naby Keita

JF-Expert Member
Oct 20, 2011
10,716
15,275
Mlevi Mmoja Alibatizwa
akazamishwa majini
Mchungaji akasema
tangu sasa hautaitwa
RAHIMU utaitwa Yohana
Umekua kiumbe kipya.
Mlevi alipofika
Nyumbani akachukua
BIA akaitumbukiza
kwenye ndoo ya maji
akasema kuanzia sasa
hutaitwa TUSKER
utaitwa FANTA alafu
akainywa......!!!!!
...!!!!!.tafakari chukua
hatua...ULEVI
NOMAAAA..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom