Ubalozi wa Tanzania UK Wamwita Kikwete Uingereza

Chuma,

Unataka mpaka watangaze kwenye kwenye gazeti la Uhuru, ndio ujue wanafanya la maana?

Ukifikiria kufanya ya maana kuna maana ya kusaidia Tanzania yote, hapo sahau. Maendeleo ya Tanzania yanakuja pale mtu mmoja mmoja, familia moja nk zinapofanya jambo lolote la maendeleo.

Kama mtu anasomesha familia yake, anawatunza wazazi wake, tayari kafanya la maana kwa nchi. Maendeleo ni sum total of contributions by individuals in the country concerned. Hii sum total inachangiwa na watu mbalimbali kuanzia mipango ya serikali mpaka mipango ya mtu mmoja mmoja.

Pia sio kila mtu lazima asaome, wasomi na wasio soma wote wana nafasi ya kuchangia maendeleo ya Tanzania. Mbeba box anaweza kuchangia zaidi kuliko msomi fisadi anayehamisha pesa toka TZ na kuzificha nje. Mtu akiona hana uwezo au hataki kusoma sio mwisho wa maisha,kuna njia nyingine chungu nzima za kuweza kujisaidia yeye na familia yake.

JF imejaliwa watu wenye hoja hadi inapendeza. Asante sana Mtanzania kwa hii analysis.
 
According to the dataz, mkulu haendi tena huko London huwa sometimes anasikia tunaposema hapa JF, thanks muuungwana for this,

Nyie London, tuliwaambia tupeni maelezo hapa JF mlifikiri tunatania, sasa mkulu haji next time mlete maelezo tukiuliza hapa JF.

I love JF.
 
Hivi sisi Watanzania tuna matatizo gani?

Sasa tunaanza kutengeneza matabaka ya waishio nyumbani na waishi nje ya nchi, hapa hususan Uingereza.

Ni vema maswali yapatiwe majibu kama full funding and organizing of event, whether ni Social Enterprising from an Individual or from a group e.g. an association with "what" support from Serikali kupitia Ubalozi.

Kama Rais anaweza kupigia debe investors wageni kwa kupitia NY Stock Exchange why not kwa Wazalendo waishio nje ya nchi? We are almost shooting ourselves in the foot kwa kulalamika wageni kupewa kipaumbele alafu Watanzania wakipewa kipaumbele kelele vilevile? Unadhani hawa Watanzania waishio nje wataweza fanya biashara yoyote ile bila kuhusisha na kushirikiana na waliopo nyumbani kama market target ni nyumbani??

Naamini kuwezesha Watanzania kumiliki na kushiriki kikamilifu, support kama ya ugeni wa Mkuu wa Nchi ni strong case. Swala la transparency ni muhimu. Hapa Organizers wamemiss kuwa na mtu ambae kazi yake kubwa ingekuwa kudeal na mawasiliano na kutoa majibu wakati wa maswali kama haya ya JF ambapo yapo halali.

Maswali halali nakubali kabisa yapo lakini pia pitia hapa uone kwa karibu baadhi ya majibu kama Sponsors, Organizers, Speakers etc - http://www.africarecruit.com/Tanzania_Event/index.php. Ila tusianze kushambuliana waishio nje kwenye mabox na walio nyumbani (kumbuka kuna akina BOT culprits ambao wako nyumbani) ... so unapokuwa sio ticket, nunalofanya ndio la kukupa sifa au laana/lalamishi.
 
According to the dataz, mkulu haendi tena huko London huwa anasikia tunaposema hapa JF, thanks muuungwana for this,

Nyie London, tuliwaambia tupeni maelezo hapa JF mlifikiri tunatania, sasa mkulu haji next time melte maelezo tukiuliza hapa JF.

I love JF.

damn if this is true..mipango ya wengi itakuwa imearibika!! lol
 
Hasa wale jamaa na matawi yao, kwisha kabisa! Sasa tuone kama kweli walikuwa na uchungu na hiyo sisiemu au ujanjaujanja wa kujisogeza!

Mimi nilisha sema hapa kwamba JK hakuwa kaitwa na Watanzania bali Abuu na wajanja wake .Balozi was taken for a ride na yeye hana la kusema kwa Abuu maana anadhani ndiyo anapelekea kupendwa zaidi .Mama kazungukwa na akina JP Abuu na wajanja wengine .Matokeo ya kuweka maslahi ya tumbo mbele na Tanzania nyuma ndiyo matokeo haya .

GT thanks so much for the news na hasa ile paundi 60,000 ndizo hasa JK amesikia na kuamua kuingia mitini .Niko London natafuta mawasiliano na Ubalozi na hawa wajanja wa London kuujua ukweli na nitasema hapa kwa uwazi .
 
According to the dataz, mkulu haendi tena huko London huwa sometimes anasikia tunaposema hapa JF, thanks muuungwana for this,

Nyie London, tuliwaambia tupeni maelezo hapa JF mlifikiri tunatania, sasa mkulu haji next time mlete maelezo tukiuliza hapa JF.

I love JF.

Mkuu,

Hii ni kweli? Hapo watu watakuwa wamefungwa magoli kweli kweli. Itabidi na wengine tubadili ratiba zetu maana bila Mkulu kuwepo hiyo foruma itakuwa imekufa.
 
Mkuu,

Hii ni kweli? Hapo watu watakuwa wamefungwa magoli kweli kweli. Itabidi na wengine tubadili ratiba zetu maana bila Mkulu kuwepo hiyo foruma itakuwa imekufa.

Mtanzania data zimesha mwagwa, waandaji wako hapa London kama wana habari tofauti na hii waje kama ambavyo huwa wanakuja na kusema .Watueleze kusanyiko liko ama limevunjwa kisa Mkulu haji ? Wao wanataja PR na justification ya cash waliyo chukua kwel watakuwa wameumia sana sana kama Mkulu hatakuja London .Wako wasomaji wengi ambao wako katika maandalizi .Waje wseme ni kweli ama uongo .
 
Mtanzania data zimesha mwagwa, waandaji wako hapa London kama wana habari tofauti na hii waje kama ambavyo huwa wanakuja na kusema .Watueleze kusanyiko liko ama limevunjwa kisa Mkulu haji ? Wao wanataja PR na justification ya cash waliyo chukua kwel watakuwa wameumia sana sana kama Mkulu hatakuja London .Wako wasomaji wengi ambao wako katika maandalizi .Waje wseme ni kweli ama uongo .

Lunyungu,

Nime confirm toka source yangu ni kweli JK haji na badala yake Shein ndiye anakuja.

Hapa ni magoli mengi sana tumefungwa. Sijui matapeli wetu wa TA sasa watatuambia nini? Rudisheni pesa mlizochukua kwa sponsors kwa kuwaahidi watapiga picha na rais wa nchi.

Nani ataenda kumsikiliza Shein?
 
Lunyungu,

Nime confirm toka source yangu ni kweli JK haji na badala yake Shein ndiye anakuja.

Hapa ni magoli mengi sana tumefungwa. Sijui matapeli wetu wa TA sasa watatuambia nini? Rudisheni pesa mlizochukua kwa sponsors kwa kuwaahidi watapiga picha na rais wa nchi.

Nani ataenda kumsikiliza Shein?


JK amekimbia kichaka cha kashfa anamwacha Shein naye aanze kuchafuka masikini .Kazi kubwa sana.Haya data zimesha mwagwa na hapa ndipo ujue JF ni moto mkali unachoma mno.TA wana kesi ya kujibu .
 
JK amekimbia kichaka cha kashfa anamwacha Shein naye aanze kuchafuka masikini .Kazi kubwa sana.Haya data zimesha mwagwa na hapa ndipo ujue JF ni moto mkali unachoma mno.TA wana kesi ya kujibu .

Yebo Yebo kakimbilia wapi? Inatakiwa aje atuambie kumetokea nini?

Huu mzinga hasa, sitashangaa nikisikia kuna watu wamepata ugonjwa wa moyo.
 
According to the dataz, mkulu haendi tena huko London huwa sometimes anasikia tunaposema hapa JF, thanks muuungwana for this,

Nyie London, tuliwaambia tupeni maelezo hapa JF mlifikiri tunatania, sasa mkulu haji next time mlete maelezo tukiuliza hapa JF.

I love JF.


Pesa ya walalahoi inateketea na Mafisadi ndio kwanza wanafikiri Tanzania yenye neema ni ya kwao pekee. Lazima tumkome huyu nyani mchana kweupe, wakati ni huu.
 
31st March 2008, 10:57 PM


Field Marshall ES
JF Senior & Premium Member Join Date: Wed Apr 2006

Re: Watanzania Uingereza wamwalika Rais Kikwete


According to the dataz, mkulu yuko njiani kwenda huko London, soon kama sio in a few days to come, na kwamba anaenda kuonana na wawekezaji wazawa wanaotaka kuwekeza bongo, I mean it sounds good, lakini

1. kwanza I want to know, ni nani atakayelipia the bill ya hiyo safari kwa ujumla?

2. Why the president? Hivi hiyo ishu kama kweli ni muhimu sana kiasi hicho kwa nini asiende waziri? au balozi mwenyewe na maofisa wake? Why the president? The head of our state anakwenda safari ya kwenda kukutana na wa-Tanzania, eti wawekezaji? Pleeeeeeease!

3. Something is not very right na some ishus huko London, I mean I respect Mama Balozi, and you know that, lakini hebu wekeni mambo wazi zaidi on this, maana sielewi mbona mko mbele mbele sana na rais! rais! na president tuuuuu! huko kuna nini? Why not Waziri Mkuu, au makamu wa rais?

4. Kwenye hili ninasema kuwa I have a problem, unless kuwe na maelezo zaidi, I mean nina wasi wasi kuwa Mama Balozi ana washauri wengi wenye nia za self-promotion, ninahisi kuwa kuna an organized group au m-Tanzania mmoja mwenye uwezo financially ambaye yuko behind this,

Nafikiri wananchi wa Tanzania wanahitaji maelezo zaidi kutoka kwa ubalozi wetu London, na pia ofisi ya rais inahitaji kutoa maelezo mazito, kama kweli hiii safari ipo, unajua siku zote communication ndio mambo yote, I mean wanaohusika tupeni maelezo zaidi, Yes sisi ni wananchi tunazo haki zote za kudai maelezo!
Ahsanteni!

Labda mkuu Dua, tuwakumbushe wenzetu huko ubalozi wa London, tarehe tuliyowaomba maelezo kuhusu ziara, na exactly maneno tuliyoyatumia, lakini kwa makusudi wakaamua kutokujibu, nakumbuka zamani walikuwa na tabia ya kujibu kupitia hapa na pm.
 
Link ya aliyotoa Mwanatanu hii hapa..............

BAE corruption investigation switches to Tanzania

David Leigh and Rob Evans said:
The Guardian, Saturday April 12 2008 Article historyAbout this articleClose This article appeared in the Guardian on Saturday April 12 2008 on p8 of the UK news section. It was last updated at 00:06 on April 12 2008. Following the uproar over its halted Saudi investigation, the Serious Fraud Office is expected to decide whether to bring fresh corruption charges against arms manufacturer BAE within six weeks, over a second arms deal, this time with Tanzania.

A minister from the east African state has denied that more than $1m (£507,500) in his offshore accounts came from BAE.

Investigators involved in a three-year inquiry after the controversial deal to sell Tanzania a £28m radar system identified the money in Jersey accounts controlled by the poverty-striken country's infrastructure minister, Andrew Chenge.

Tanzania's anti-corruption bureau, which has been working with authorities in the UK, Switzerland and Jersey, wants to establish if the money is linked to multi-million pound secret commission payments made by BAE. Chenge does not dispute the money in his Jersey accounts. But he told the Guardian: "The obvious inference [of the nvestigations] is that I have received for my benefit 'corrupt payments' from BAE. This is untrue." He said he was only involved in minor aspects of the radar deal, which was promoted by other ministries and approved by the Tanzanian cabinet. His bank records, he said, would show investigators that "there is no connection to the BAE Tanzanian radar deal".

His US lawyer from Cleveland, Ohio, J Lewis Madorsky, added: "While the matters in question took place a number of years ago, we can state ... that any and all allegations of illegality, impropriety, misconduct and unethical behaviour made against our client are categorically and vigorously denied".

Investigators say Chenge could be a valuable witness. The target of their investigation is not him but BAE. The arms company made the commission payments to a local agent in Tanzania to promote the £28m radar sale, through an elaborate chain of offshore companies and a Swiss bank. The agent has now left the country and is wanted by Interpol.

These developments come at a key moment in the BAE saga. A landmark high court ruling on Thursday said that the decision to drop the SFO's Saudi inquiry was wrong. In a huge embarrassment for the British and Saudi governments, the court rejected the claims that the inquiry had to be closed down for reasons of national security and because lives would be at risk.

And it took the extraordinary step of naming Prince Bandar, the crown prince's son, as the man behind what it said could be characterised as an attempt to pervert the course of justice. Former prime minister Tony Blair caused uproar by personally forcing a halt to investigations into the Saudi deal. The Guardian subsequently disclosed that £1bn had been paid into accounts controlled by Prince Bandar during the deal. Bandar says the payments were not improper. Inspectors from the Organisation for Economic Co-operation and Development (OECD) grilled British officials in London last week about their failure to get results from any of their BAE investigations. Britain signed up to an international treaty to outlaw bribery, but there have never been any prosecutions.

The Tanzania deal, although smaller in cash terms than the Saudi deals, is equally controversial: Tanzania is one of the world's poorest countries, and the UK government is paying more than £100m this year to help the heavily-indebted country's budget. It was Blair again who forced the radar deal through the British cabinet, despite protests from the then international development secretary, Clare Short. She said the sale, for which Tanzania had to borrow yet more from a commercial bank, was corrupt and "stank".

A lengthy SFO investigation in the UK subsequently discovered that 31% of the deal's contract price had been diverted via Switzerland. BAE transferred the money to a subsidiary, Red Diamond Trading, registered anonymously in the British Virgin Islands. Red Diamond then moved the cash to a Swiss account in the name of a Panama company, Envers Trading Corporation. This entity had two Panamanian nominee directors. But it was secretly controlled by a Tanzanian middleman, Shailesh Vithlani, according to Dar es Salaam court papers.

Investigators are now checking whether Vithlani arranged to pass any money in turn to Tanzanian politicians and officials. Sources said the bank in Jersey had promptly frozen transactions and filed a suspicious activity report when the Tanzanian inquiries began.

Vithlani, who is of Indian extraction but holds a British passport, is listed as wanted by Interpol. He has been charged by the Tanzanian anti-corruption bureau with lying to investigators, but has left the country. His whereabouts are unknown.

According to the charges, Vithlani falsely denied he was the owner of the Panama company, and falsely claimed he had only handled a separate commission of 1% on the deal. The SFO's new director, Richard Alderman, former head of UK tax investigations, is due to take over this month. The SFO refused to comment yesterday.

BAE, which has previously denied wrongdoing, also declined to comment, or to explain its chain of offshore payments, other than to say "BAE Systems continues to fully co-operate with the SFO investigation". The company has recently launched an extensive public relations campaign and last week unveiled a report commissioned from a commercial consultancy, Oxford Economics, which claimed BAE was of key value to the UK economy.

FM ES siku zote ukweli utakuweka huru, huwezi kuiba with impunity pesa ya walalahoi na ukalala salama itazilipa hapa hapa ulimwenguni kabla mola hajakuchukua. mafisadi rudisheni pesa yetu! We are coming after you, watchout!

BTW Huyo Chenge anasema hiyo pesa haikutoka BAE, sawa atwambie imetoka wapi? kwa mshahara anaolipwa kwa mwezi? Au biashara ya kuitapeli nchi?
 
Link ya aliyotoa Mwanatanu hii hapa..............

BAE corruption investigation switches to Tanzania



FM ES siku zote ukweli utakuweka huru, huwezi kuiba with impunity pesa ya walalahoi na ukalala salama itazilipa hapa hapa ulimwenguni kabla mola hajakuchukua. mafisadi rudisheni pesa yetu! We are coming after you, watchout!

BTW Huyo Chenge anasema hiyo pesa haikutoka BAE, sawa atwambie imetoka wapi? kwa mshahara anaolipwa kwa mwezi? Au biashara ya kuitapeli nchi?

Nafikiri Chenge hapa kaamua kulivaa jini alijualo. Anaona aruke kushughulikiwa na SFO hata kama kwa kufanya hivyo ataingia matatani kwenye serikali ya Muungwana. Anajua kuna watu watambeba tu, wakati akiingia kwenye
kosa la Waingereza anajua hawezi kupona.
 
namkumbuka atayi bob marley alisema U can fool some ppo some of the time but u can't fool all ppo all of the time sasa jamaa ni lazima ajue kuwa atawatia ujinga haohao wenye maslahi naye ila moto utawaka tuu,Hapa muungwana lazima awe makini kwani Bubu alisema kwa uchungu wa mwanaye,sina mengi ila nayaacha ndani ya mafumbo kila mutu ayadefine ajuavyo
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom