RayB
JF-Expert Member
- Nov 27, 2009
- 2,751
- 196
Ubalozi Wa Marekani DSM Chupuchupu
Ubalozo wa Marekani nchini umenusurika kulipuliwa na mwanafunzi wa shule ya msingi anayedaiwa kuhamasishwa na mafunzo aliyopewa na mtandao wa kigaidi wa Al Qaeda.
Taarifa kutoka ndani ya ubalozi huo, zimeeleza kuwa kijana huyo ambaye hakufahamika jina lake mara moja, hivi sasa anashikiliwa na Jeshi la Polisi kituo cha Oysterbay, Dar es Salaam.
Habari zilisema mwanafunzi huyo mwenye umri wa kati ya miaka 15 na 17, alifanikiwa kuingia ndani ya ubalozi huo Jumapili iliyopita saa tatu usiku, akiwa na vifaa alivyotaka kutumia kufanyia ulipuaji huo.
source: Father Kidevu
Ubalozo wa Marekani nchini umenusurika kulipuliwa na mwanafunzi wa shule ya msingi anayedaiwa kuhamasishwa na mafunzo aliyopewa na mtandao wa kigaidi wa Al Qaeda.
Taarifa kutoka ndani ya ubalozi huo, zimeeleza kuwa kijana huyo ambaye hakufahamika jina lake mara moja, hivi sasa anashikiliwa na Jeshi la Polisi kituo cha Oysterbay, Dar es Salaam.
Habari zilisema mwanafunzi huyo mwenye umri wa kati ya miaka 15 na 17, alifanikiwa kuingia ndani ya ubalozi huo Jumapili iliyopita saa tatu usiku, akiwa na vifaa alivyotaka kutumia kufanyia ulipuaji huo.
source: Father Kidevu