Madela Wa- Madilu
JF-Expert Member
- Mar 24, 2007
- 3,062
- 731
Inteligensia ya IGP Mwema inasema waliopigwa Risasi ilikuwa ni Bahati mbaya kwani Polisi walipiga Risasi juu Vertically,sasa zilipokuwa zinashuka kwa Gravitational Force ndipo ziliwadondokea na kuwaua.
Hii ni Intelligensia ya IGP Mwema ambayo haikubaliki kisayansi
Hii ni Intelligensia ya IGP Mwema ambayo haikubaliki kisayansi