Ubalozi UK kuweni makini na matapeli

andrews

JF-Expert Member
Mar 28, 2012
1,679
152
TUNAWAOMBA UBALOZI WA TANZANIA(UK)KUJIHUSISHA NA MAKAMPUNI YA KIHUNI KWA KUHUDHURIA PROMOSHEN ZAO NA HASA(SERENGETI FREIGHT)INABIASHARA HARAMU AMBAYO NI AIBU KWA UBALOZI.HUSUSANI NAIBU BALOZI KUWA MAKINI NA WAHUNI HAWA.TANZANIA ITALINDWA NA WATANZANIA:israel:
 
hii copy itabidi ipelekwe kwa wizara mambo ya nje,usalama wa taifa hususani othman,tbs,na zito kabwe kamati ya bunge
 
TUNAWAOMBA UBALOZI WA TANZANIA(UK)KUJIHUSISHA NA MAKAMPUNI YA KIHUNI KWA KUHUDHURIA PROMOSHEN ZAO NA HASA(SERENGETI FREIGHT)INABIASHARA HARAMU AMBAYO NI AIBU KWA UBALOZI.HUSUSANI NAIBU BALOZI KUWA MAKINI NA WAHUNI HAWA.TANZANIA ITALINDWA NA WATANZANIA:israel:

Kwanini wabongo tunapenda majungu na fitina?...acha kuwaharibia wenzako,ni biashara gani haramu wanayofanya serengeti?kwa jinsi unavyoonekana roho imekupinda ungekuwa unaijua hiyo biashara si ungekuwa umeshaisema hapa?
badilika mtz,upo ulaya lkn unaleta mambo ya umbea umbea na hadithi za kutunga....unaonesha unaumia sana ukimuona chris ana drive range sport BWA HA HA HAA HA
 
TUNAWAOMBA UBALOZI WA TANZANIA(UK)KUJIHUSISHA NA MAKAMPUNI YA KIHUNI KWA KUHUDHURIA PROMOSHEN ZAO NA HASA(SERENGETI FREIGHT)INABIASHARA HARAMU AMBAYO NI AIBU KWA UBALOZI.HUSUSANI NAIBU BALOZI KUWA MAKINI NA WAHUNI HAWA.TANZANIA ITALINDWA NA WATANZANIA:israel:

Biashara gani haramu?
 
Kwanini wabongo tunapenda majungu na fitina?...acha kuwaharibia wenzako,ni biashara gani haramu wanayofanya serengeti?kwa jinsi unavyoonekana roho imekupinda ungekuwa unaijua hiyo biashara si ungekuwa umeshaisema hapa?
badilika mtz,upo ulaya lkn unaleta mambo ya umbea umbea na hadithi za kutunga....unaonesha unaumia sana ukimuona chris ana drive range sport BWA HA HA HAA HA
Mtimti ni kweli, baadhi ya wabongo ni watu wenye wivu, chuki na umbea umbea tena hawa wa UK ndio wanaongoza!.

Miaka ya nyuma katika kutafuta maisha, nilijaribu UK nikiwa na wife. Kiukweli sote tulifanya zile zile kazi za shuruba. Jumapili moja tukamtembelea Mtanzania mwenzetu na wife wake ambao walibahatika kupata twins. Tukiwa hapo nyumbani wakatembelewa na wadada wa kibongo wa London, tukatambulishwa na wote kuendelea kuwa wageni pale.

Kwa vile mwenyeji hakuwa na msaidizi, ahudumie twins wake na kupikia wageni was just tuu much, wife ugeni ukamtoka, akaomba kanga akaingia jikoni kusaidia kupika. Baada ya kula akasafisha vyombo. Jioni akamsaidia mwenyeji ku baby seat wale twins ili angalau mwenjeji apate muda na wageni wake, wageni wale wakatangulia kuondoka sisi tukaondoka usiku.

Kesho ya yake taarifa za uwepo wangu zikaenezwa jijini London kwa jamii ya Wabongo eti mimi na mke wangu tumekuja London kuajiriwa na yule rafiki tuliyemtembelea!, eti mimi ni house boy na wife ni domestic helper na baby sitter wa wale twins!. Nikaelezwa eti mtoa habarimpaka ameapia kwa jina la Mungu ameshuhudia wife akifanya kazi za ndani eti mimi nilizuga zuga sebuleni ili wasinishtukie!.

Mbona wale wageni walipokuja utambulisho mzuri tuu ulitolewa?!. Nikajiuliza hili na sisi kuwa house boy na house girl limetoka wapi?!. Au kule kusaidia kazi ndio imegeuka ajira mpaka kutangaziana na kujiapiza?!.

Hawa ndio Tz wa UK!.

Niliporudi bongo baada ya muda, dada mmoja wa Kinondoni aliemanage kujipatia status ya ukimbizi wa Somalia kule UK si akarudishwa bongo, kisa Wabongo walimchomea na kumharibia ili asifanikiwe!. Ni miwivu tuu imewajaa baadhi yao!. Hivi kama mimi uwezo wangu ni kupanda dala dala, kwa nini nimuonee vivu mwenzangu kisa anaendesha vogue?!. Sio tuu nimeonee wivu bali nianze kumpekenyua kaipataje na mwisho nimchomee ili afukuzwe UK!. Hivi akishafukuzwa mimi sasa ndio nitaipata hiyo vogue au nitaendelea kujipandia dala dala za uwezo wangu?!.

Hao na haters wa UK ni sawa na baadhi ya hatters wa humu jf!. Masikini hawa hate ikizidi inageuka ugonjwa against themselves!.
 
Kwanini wabongo tunapenda majungu na fitina?...acha kuwaharibia wenzako,ni biashara gani haramu wanayofanya serengeti?kwa jinsi unavyoonekana roho imekupinda ungekuwa unaijua hiyo biashara si ungekuwa umeshaisema hapa?
badilika mtz,upo ulaya lkn unaleta mambo ya umbea umbea na hadithi za kutunga....unaonesha unaumia sana ukimuona chris ana drive range sport BWA HA HA HAA HA

Sema wewe ndgu yangu Mtimti, that's why we are still behind. Kila kukicha majungu na fitna. lin tutaamka???


Sent from my NOKIA 3310 using Tapatalk HD
 
Mtimti ni kweli, baadhi ya wabongo ni watu wenye wivu, chuki na umbea umbea tena hawa wa UK ndio wanaongoza!.

Miaka ya nyuma katika kutafuta maisha, nilijaribu UK nikiwa na wife. Kiukweli sote tulifanya zile zile kazi za shuruba. Jumapili moja tukamtembelea Mtanzania mwenzetu na wife wake ambao walibahatika kupata twins. Tukiwa hapo nyumbani wakatembelewa na wadada wa kibongo wa London, tukatambulishwa na wote kuendelea kuwa wageni pale.

Kwa vile mwenyeji hakuwa na msaidizi, ahudumie twins wake na kupikia wageni was just tuu much, wife ugeni ukamtoka, akaomba kanga akaingia jikoni kusaidia kupika. Baada ya kula akasafisha vyombo. Jioni akamsaidia mwenyeji ku baby seat wale twins ili angalau mwenjeji apate muda na wageni wake, wageni wale wakatangulia kuondoka sisi tukaondoka usiku.

Kesho ya yake taarifa za uwepo wangu zikaenezwa jijini London kwa jamii ya Wabongo eti mimi na mke wangu tumekuja London kuajiriwa na yule rafiki tuliyemtembelea!, eti mimi ni house boy na wife ni domestic helper na baby sitter wa wale twins!. Nikaelezwa eti mtoa habarimpaka ameapia kwa jina la Mungu ameshuhudia wife akifanya kazi za ndani eti mimi nilizuga zuga sebuleni ili wasinishtukie!.

Mbona wale wageni walipokuja utambulisho mzuri tuu ulitolewa?!. Nikajiuliza hili na sisi kuwa house boy na house girl limetoka wapi?!. Au kule kusaidia kazi ndio imegeuka ajira mpaka kutangaziana na kujiapiza?!.

Hawa ndio Tz wa UK!.

Niliporudi bongo baada ya muda, dada mmoja wa Kinondoni aliemanage kujipatia status ya ukimbizi wa Somalia kule UK si akarudishwa bongo, kisa Wabongo walimchomea na kumharibia ili asifanikiwe!. Ni miwivu tuu imewajaa baadhi yao!. Hivi kama mimi uwezo wangu ni kupanda dala dala, kwa nini nimuonee vivu mwenzangu kisa anaendesha vogue?!. Sio tuu nimeonee wivu bali nianze kumpekenyua kaipataje na mwisho nimchomee ili afukuzwe UK!. Hivi akishafukuzwa mimi sasa ndio nitaipata hiyo vogue au nitaendelea kujipandia dala dala za uwezo wangu?!.

Hao na haters wa UK ni sawa na baadhi ya hatters wa humu jf!. Masikini hawa hate ikizidi inageuka ugonjwa against themselves!.

Sawa sawa pasco, ndomana watu wengi wa UK wameamua kuonana wakati wa maziko tu, kuonana wakati wa raha watakuangalia umevaa nini , unakula wapi , unalala na nani. roho mbaya tu


Sent from my NOKIA 3310 using Tapatalk HD
 
Mtimti ni kweli, baadhi ya wabongo ni watu wenye wivu, chuki na umbea umbea tena hawa wa UK ndio wanaongoza!.

Miaka ya nyuma katika kutafuta maisha, nilijaribu UK nikiwa na wife. Kiukweli sote tulifanya zile zile kazi za shuruba. Jumapili moja tukamtembelea Mtanzania mwenzetu na wife wake ambao walibahatika kupata twins. Tukiwa hapo nyumbani wakatembelewa na wadada wa kibongo wa London, tukatambulishwa na wote kuendelea kuwa wageni pale.

Kwa vile mwenyeji hakuwa na msaidizi, ahudumie twins wake na kupikia wageni was just tuu much, wife ugeni ukamtoka, akaomba kanga akaingia jikoni kusaidia kupika. Baada ya kula akasafisha vyombo. Jioni akamsaidia mwenyeji ku baby seat wale twins ili angalau mwenjeji apate muda na wageni wake, wageni wale wakatangulia kuondoka sisi tukaondoka usiku.

Kesho ya yake taarifa za uwepo wangu zikaenezwa jijini London kwa jamii ya Wabongo eti mimi na mke wangu tumekuja London kuajiriwa na yule rafiki tuliyemtembelea!, eti mimi ni house boy na wife ni domestic helper na baby sitter wa wale twins!. Nikaelezwa eti mtoa habarimpaka ameapia kwa jina la Mungu ameshuhudia wife akifanya kazi za ndani eti mimi nilizuga zuga sebuleni ili wasinishtukie!.

Mbona wale wageni walipokuja utambulisho mzuri tuu ulitolewa?!. Nikajiuliza hili na sisi kuwa house boy na house girl limetoka wapi?!. Au kule kusaidia kazi ndio imegeuka ajira mpaka kutangaziana na kujiapiza?!.

Hawa ndio Tz wa UK!.

Niliporudi bongo baada ya muda, dada mmoja wa Kinondoni aliemanage kujipatia status ya ukimbizi wa Somalia kule UK si akarudishwa bongo, kisa Wabongo walimchomea na kumharibia ili asifanikiwe!. Ni miwivu tuu imewajaa baadhi yao!. Hivi kama mimi uwezo wangu ni kupanda dala dala, kwa nini nimuonee vivu mwenzangu kisa anaendesha vogue?!. Sio tuu nimeonee wivu bali nianze kumpekenyua kaipataje na mwisho nimchomee ili afukuzwe UK!. Hivi akishafukuzwa mimi sasa ndio nitaipata hiyo vogue au nitaendelea kujipandia dala dala za uwezo wangu?!.

Hao na haters wa UK ni sawa na baadhi ya hatters wa humu jf!. Masikini hawa hate ikizidi inageuka ugonjwa against themselves!.
Pole sana mkuu! Kweli watanzania kwa majungu ni kiboko. Ndiyo maana nasema hata ufisadi hauwezi kuisha hivihivi, kwani leo una cheo, wanakuchapa junguuuuuuuuuu, then ukishatoka then umechapika wanakuchapa jungu double, bora uibe ili wakikupiga jungu unapesa kama lowasa
 
TUNAWAOMBA UBALOZI WA TANZANIA(UK)KUJIHUSISHA NA MAKAMPUNI YA KIHUNI KWA KUHUDHURIA PROMOSHEN ZAO NA HASA(SERENGETI FREIGHT)INABIASHARA HARAMU AMBAYO NI AIBU KWA UBALOZI.HUSUSANI NAIBU BALOZI KUWA MAKINI NA WAHUNI HAWA.TANZANIA ITALINDWA NA WATANZANIA:israel:

Habari haina kichwa wala mguu.
Kama hawa ndo Watanzania wanaolinda nchi kwishaney.
 
Pole sana mkuu! Kweli watanzania kwa majungu ni kiboko. Ndiyo maana nasema hata ufisadi hauwezi kuisha hivihivi, kwani leo una cheo, wanakuchapa junguuuuuuuuuu, then ukishatoka then umechapika wanakuchapa jungu double, bora uibe ili wakikupiga jungu unapesa kama lowasa
Asante Mkuu Ng'wana K. Mimi ni miongoni mwa watetezi wakubwa wa yule dr wa kibongo aliyekuwa akifanya kweli UK na US na kufanya mambo bongo!. "Get rich or die trying"!. After all the end justifies the means!.
 
Asante Mkuu Ng'wana K. Mimi ni miongoni mwa watetezi wakubwa wa yule dr wa kibongo aliyekuwa akifanya kweli UK na US na kufanya mambo bongo!. "Get rich or die trying"!. After all the end justifies the means!.

Mponjoli aka "The Doctor"


Sent from my NOKIA 3310 using Tapatalk HD
 
WANAUZA UNGA SIO FITINA WAULIZENI VIZURI WALIO KARIBU NAO NI WAUZA UNGA TU:lock1:
 
Back
Top Bottom