Ubalozi na familia

Mwenyeuchungu

New Member
Aug 18, 2010
1
0
Tanzania kama zilivyonchi zingine, imekuwa ikiwakilishwa na mabalozi nchi za nje. Wote tumeshuhudia mabalozi wakiteuliwa, vijana kwa wazee, waliopitisha umri wa kustaafu na walio na damu changa. Kwa kawaida, serekali ndiyo inayogharaia maisha ya wateule hawa huko ughaibuni wakipewa haki zao kama vile maafisa wengine wa serekali walioko nyumbani. Swali la msingi ambalo nimekuwa najiuliza ni je, katika huduma wanazopaswa kupewa hawa mabalozi je, na wanafamilia wote wanapewa the same? Mfano, gari za ubalozi zinamamlaka ya kumhudumia balozi, na mme/mke wake, watoto nk? Hebu nisaidie wanaJF.
 
Tanzania kama zilivyonchi zingine, imekuwa ikiwakilishwa na mabalozi nchi za nje. Wote tumeshuhudia mabalozi wakiteuliwa, vijana kwa wazee, waliopitisha umri wa kustaafu na walio na damu changa. Kwa kawaida, serekali ndiyo inayogharaia maisha ya wateule hawa huko ughaibuni wakipewa haki zao kama vile maafisa wengine wa serekali walioko nyumbani. Swali la msingi ambalo nimekuwa najiuliza ni je, katika huduma wanazopaswa kupewa hawa mabalozi je, na wanafamilia wote wanapewa the same? Mfano, gari za ubalozi zinamamlaka ya kumhudumia balozi, na mme/mke wake, watoto nk? Hebu nisaidie wanaJF.



ndo mana ake mkuu maana hata passport zao ni diplomatic sikumbuki rangi yake kwa wanafamilia wote na hata wanalipwa fweza za kujikimu after 18 years...hiyo si kwa tz tu nadhani maana nimeshuhudia dogo akila mshiko every month nchi yake xyz
 
Back
Top Bottom