Ubahiri Noma

Domo Zege

JF-Expert Member
Sep 18, 2010
692
228
Mpare mmoja alianguka kwenye kisima cha maji akawa anapiga kelele huku anatapatapa .Mkewe akaja na kamba mpya akamrushia,maongezi yao yalikua kama ifuatavyo;Mume: Kamba umenunua sh ngapi?Mke:BukuMume:Irudishe haraka nenda kwa Masawe anauza jero fanya haraka nitazama
 
Mpare mmoja alianguka kwenye kisima cha maji akawa anapiga kelele huku anatapatapa .Mkewe akaja na kamba mpya akamrushia,maongezi yao yalikua kama ifuatavyo;Mume: Kamba umenunua sh ngapi?Mke:BukuMume:Irudishe haraka nenda kwa Masawe anauza jero fanya haraka nitazama

hii kali, hata kwenye kifo!!!!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom