Mpare mmoja alianguka kwenye kisima cha maji akawa anapiga kelele huku anatapatapa .Mkewe akaja na kamba mpya akamrushia,maongezi yao yalikua kama ifuatavyo;Mume: Kamba umenunua sh ngapi?Mke:BukuMume:Irudishe haraka nenda kwa Masawe anauza jero fanya haraka nitazama