FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,373
Huyo jamaa ametuaibisha wanaume wote hapa. In fact hakuna mpwa mwenye tabia hizo, tukizigundua tutahoji uanaume wake....
safi sana
Huyo jamaa ametuaibisha wanaume wote hapa. In fact hakuna mpwa mwenye tabia hizo, tukizigundua tutahoji uanaume wake....
Jamani kuna wanaume wengine wanakera sana, kuna dada mmoja tuko nae ofisini ana kazi sio tu ya kutunza familia, bali na kumtunza mumewe! lazima aampe pesa ya baa, hili jibaba linafuatilia kila senti ya huyu dada, akigundua amenunua kitu asichoafiki kama vile nguo au perfume, inakuwa kesi kubwa. Pamoja na mshahara na marupurupu aliyonayo huyu dada ukimuona utadhani hiuse girl, amechakaa na kuzeeka maana hana raha kwenye ndoa, na zaidi ni mzigo wa kumhudumia huyu mume asiyetaka kujishughulisha na majukumu ya familia ingawa na yeye ana kazi.
Jamani akina dada ndoa ni kama koti, ukiona joto limezidi vua! unatakiwa kuwa happy sio mradi ndoa hata kama unateseka - ukiwa na hamu ya ile kitu si una import tu mbona wapo wengi hata humu JF?