carmel
JF-Expert Member
- Aug 24, 2009
- 2,836
- 262
...........Najua hii mada ishaongelewa sana hapa JF hata kama siyo direct kama navyotaka kuipresent case niliyoipata hivi karibuni! Kuna mdada kaolewa ana kama miaka mitatu kwenye ndoa sasa, anasema mumewe ni bahili sana kutoa matumizi ya kawaida kwa mkewe, hajawahi hata kumnunulia nguo wala kiatu, wala zawadi ya birthday wala anniversary! eti hata outing ni za manati sana na kwamba siku za kwanza jamaa hata pesa za mahitaji ya home alikuwa anabana sana akitegea mkewe atoe. Dem akashtuka akaona hatendewi haki akatia mgomo bariri kwenye hilo. Ila life yake yuko upset every time, anadai haoni umuhimu wa kuolewa kama anachoshare na mumewe ni kitanda lakini mahitaji yake yeye, shida zake na worries zake zote mumewe hataki kuhusika. Hata hajui mumuwe ana plan gani katika maisha maana yuko kivyake sana. Kinachomuumiza ni kwamba si kwamba hubby wake huyo hana pesa, ana kazi nzuri tu na analipwa vizuri sana, na akaunti zake (anadai anazionaga ki bahati mbaya) zina salio la kutosha tu. Ila ni bahili!
Sasa kwa wenye ndoa, waume kwa wake toeni views zenu, is it fair? I mean, inakuwaje unaoa mke hata kama ana kazi wewe unajitoa kabisa kwenye ishu zinazomhusu mkeo? Mimi ni ardent believer wa kusaidiana between mke na mume but does this allow mume ajitoe kabisa?
Hebu toeni experience tofauti hapa tupate mwafaka wa kila upande, kiumeni na kikeni!
Sasa kwa wenye ndoa, waume kwa wake toeni views zenu, is it fair? I mean, inakuwaje unaoa mke hata kama ana kazi wewe unajitoa kabisa kwenye ishu zinazomhusu mkeo? Mimi ni ardent believer wa kusaidiana between mke na mume but does this allow mume ajitoe kabisa?
Hebu toeni experience tofauti hapa tupate mwafaka wa kila upande, kiumeni na kikeni!