Muke Ya Muzungu
JF-Expert Member
- Jun 17, 2009
- 3,444
- 264
Hivi serikali yetu hiko wapi wakati hawa wakoloni wanarudi na mambo yao ya kikoloni na ubaguzi kwa Watanzania?
Wafanyakazi wa kampuni ya STRABAG wananyanyaswa kama mbwa. Hawana haki mbele ya hawa wazungu, tena kwenye nchi yao.
Serikali iko wapi jamani?
Source MICHUZI: NAKALA YA TAMICO KWA VYOMBO VYA HABARI
Wafanyakazi wa kampuni ya STRABAG wananyanyaswa kama mbwa. Hawana haki mbele ya hawa wazungu, tena kwenye nchi yao.
Serikali iko wapi jamani?
Source MICHUZI: NAKALA YA TAMICO KWA VYOMBO VYA HABARI