ubaguzi live kagame cup

Porojo za mwenyekiti wao eti anataka kujenga uwanja na kuanzisha simba tv wakati jengo wameshindwa kupaka hata rangi, wanalaana hawa ndio mana wanakula hadi rambirambi
 
Mleta mada acha unafiki. Hukuona wakati kaseja anapewa maji kipindi cha pili. Umeliona la mwinyi tu kuchagua kama vile ni ya simba.
 
Si kweli!,Yule mzungu wa Azam alikua na maji ya aina mbili,alikuwa na maji ya kawaida ya Azam na Energy drink ambayo ilikua maalum kwa wachezaji wa Azam tu,Baada ya Mechi kuisha Kazimoto aliomba maji na akapewa ya kawaida ila yeye aliyakataa na kutaka apewe yale waliyokuwa wanakunywa wachezaji wa Azam,Yule Mzungu wa Azam alimnyima,Kuona kanyimwa ile energy drink Kazimoto aka-mind kiasi flani then akaondoka!,Hii nimeiona mwenyewe kupitia Supersport,Jipange mzee!,

...Asante Mkuu kwa kutujuza hali halisi!! kuuumbe muanzisha Uzi alikuwa na lake jambooo! ...teh teh!
:eek2:
 
Lkn Simba ni Club kubwa sana bwana kwanini waruhusu wachezaji wake waombeombe maji utafikiri wachezaji wa Umiseta?

Mhhh,hata mie hainiingii akilini. Klabu kama simba naamini haishindwi labda mipango tu si mizuri. Hata maji?
 
Acheni uzushi wa kijinga.. Mwinyi alikuwa amefunga n by the timu game inaisha adhana ilikuwa bado. Angekunywa maji kivipi?
 
Back
Top Bottom