AK-47
JF-Expert Member
- Nov 12, 2009
- 1,373
- 199
Leo kamuambia John Mnyika kama kweli anauchungu na nauli mpya za kivuko kwanini anakaa kimya kuhusu kiiingilio cha kituo cha mabasi ubungo ama wananchi wa jimbo lake hawaumizwi na hilo, kisha akampongeza Mdee kwa kukaa kimya. Wenzie wa CCM kawastahi hakuwa-attack kihivyo.