Ze burner
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 514
- 83
- Thread starter
- #21
kama wewe ni miongoni mwetu wenye uwezo wa kupanda haya mapipa naomba nikueleze kuwa hail kwa shirika hili bado si suari. na kama una safari ya muhimu kesho kutwa ni afadhali ukaondoka leo coz cancellation zimeongezeka, delay ndo imeshakuwa utamaduni wa kawaida. tunachoshuhudia sisi ni vilio tu vya abiria wakiwa na ticket mikononi.