kiboko bin mkwaju
Member
- Sep 25, 2012
- 8
- 0
Ni ndoto yangu kujenga shule maishani mwangu,wadau na wataalamu mbali mbali wenye ufahamu juu ya uanzishwaji wa shule naomba mnijuze nini kina hitajika il kuanzisha au kujenga shule. Ni kiasi gani cha pesa niwe nacho ili kuanzisha shule.