majiyashingo
Member
- Feb 2, 2011
- 44
- 2
Jamani mimi naishi kwenye Flat na nilikuwa na mpango wa kusajiri kampuni ila kwa kipindi kama cha miezi sita nilitaka kutumia adress ya nyumbani kwani ambayo ni flat je sheria inasemaje kuhusu hilo?inawezekana kuwa na kampuni wakati legal adress ni nyumba ya kuishi?natanguliza shukrani