Cassava
JF-Expert Member
- Oct 11, 2010
- 282
- 36
Wana janvi habari zenu na poleni kwa shughuli za hapa pale.
Naombeni ushauri na maelekezo kuhusu utungaji na uandishi wa vitabu.
Mimi naishi mkoani, nimekuwa nikiandika vitabu lakini sija chapisha hata kimoja, sasa ninavyo viwili viko kwenye soft copy.
Sasa naombeni kufahamu yafuatayo;
1. Ni publisher yupi anayeaminika kwa Dar na bei yake ni reasonable kwa karatasi nyeupe na picha za rangi kitabu chote?
2. Je, Ku publish kitabu cha page 150 inagharimu bei gani?
Kwa yeyote mwenye uelewa naomba anisaidie.
Naombeni ushauri na maelekezo kuhusu utungaji na uandishi wa vitabu.
Mimi naishi mkoani, nimekuwa nikiandika vitabu lakini sija chapisha hata kimoja, sasa ninavyo viwili viko kwenye soft copy.
Sasa naombeni kufahamu yafuatayo;
1. Ni publisher yupi anayeaminika kwa Dar na bei yake ni reasonable kwa karatasi nyeupe na picha za rangi kitabu chote?
2. Je, Ku publish kitabu cha page 150 inagharimu bei gani?
Kwa yeyote mwenye uelewa naomba anisaidie.