Kuandika makala ni weledi lakini pia ni kipaji. Mwandishi mzuri ni yule 1. anayefanikiwa kumfanya msomaji aischoke kusoma makala zake 2. Makala zake zinakuwa na mantiki na hoja. Sifa zote hizi mbili huenda sambamba moja ikikosekana basi makala haipendwi
Siku za karibuni kumekuwa na wimbi la waandishi wa makala ambao kwa kweli makala zao hazina mvuto kabisa ingawa zaweza kuwa na hoja. Waandishi wafuatao ndio ambao makala zao kwa mtazamo wangu zina au zilikuwa na sifa hizo:
1. Johnson Mbwambo- Raia Mwema
2. Kondo Tutindaga- Mwanahalisi
3. Joseph Mihangwa- Raia Mwema etc
4. Ansebert Ngurumo - Tanzania Daima
5. Kitakweta Kitabaganda- RAI
6. Meku Madarubini- Wakati ni Huu
7. Alikuwepo mzee mmoja hivi mhaya alikuwa na mvi alifariki akiandikia RAI pia
Siku za karibuni kumekuwa na wimbi la waandishi wa makala ambao kwa kweli makala zao hazina mvuto kabisa ingawa zaweza kuwa na hoja. Waandishi wafuatao ndio ambao makala zao kwa mtazamo wangu zina au zilikuwa na sifa hizo:
1. Johnson Mbwambo- Raia Mwema
2. Kondo Tutindaga- Mwanahalisi
3. Joseph Mihangwa- Raia Mwema etc
4. Ansebert Ngurumo - Tanzania Daima
5. Kitakweta Kitabaganda- RAI
6. Meku Madarubini- Wakati ni Huu
7. Alikuwepo mzee mmoja hivi mhaya alikuwa na mvi alifariki akiandikia RAI pia