Masikini_Jeuri
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 6,829
- 1,296
Wakuu; nimekuwa na pilika za hapa na pale na nilimiss zoezi la kwanza huko Dar; Wakati fulani niliambiwa kuwa muda umeongezwa; Je bado zoezi linaendelea ama nianze taratibu za kujiandikisha mkoani?:confused2: