kakuruvi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2009
- 770
- 256
Wana JF habari za furahiday,
Nimesikiliza nyimbo nikapata cha kujumuika nanyi leo ni wanamuziki wawili ndio wamenifanya niseme, bahati mbaya wote ni marehemu, Mungu awalaze mahali pema peponi.
Mzee Patric Balisdya aliimba,
''kuoana ni jambo la sifa na tena ni jambo la fahari kubwa....''
Kaka Marijani Rajabu aliimba,
''uamuzi wa kuoa sasa hivi sina....''
kuna mweye nyimbo hizi azilete jamvini tuburudike? na pia tafadhali leteni maoni ni sababu zipi zinasababisha watu kuoa/kuolewa mapema au kuchelewa kuoa/kuolewa na pia msisahau wapo walioamua hawaoi/hawaolewi, sababu ni zipi jamani tuelimishane itatusaidia wengi.
Nimesikiliza nyimbo nikapata cha kujumuika nanyi leo ni wanamuziki wawili ndio wamenifanya niseme, bahati mbaya wote ni marehemu, Mungu awalaze mahali pema peponi.
Mzee Patric Balisdya aliimba,
''kuoana ni jambo la sifa na tena ni jambo la fahari kubwa....''
Kaka Marijani Rajabu aliimba,
''uamuzi wa kuoa sasa hivi sina....''
kuna mweye nyimbo hizi azilete jamvini tuburudike? na pia tafadhali leteni maoni ni sababu zipi zinasababisha watu kuoa/kuolewa mapema au kuchelewa kuoa/kuolewa na pia msisahau wapo walioamua hawaoi/hawaolewi, sababu ni zipi jamani tuelimishane itatusaidia wengi.