Arafat
JF-Expert Member
- Nov 17, 2009
- 2,581
- 758
Mkandaraa nimependa sana Comments yako hasa pale uliposema tujipime sisi kwa vigezo vyetu maana naona kama kuna waliotaka nisema sisi ni wavivu lakini fulani na fulani siyo wavivu! Labda Chapakazi alitaka niseme kuwa kulingana na hii michango fulani na fulani ndio wanaoneka hakusoma hizo nyaraka kwa uvivu wao wa kusoma lakini Chapakazi siyo Mvivu na amesoma hizi nyaraka!
Ahaa haa Chapakazi Bwana; anaweza kupitia michango yote kuanzia mwanzo kama shida yake ni kuainisha majina ya watu maana kuna wengine hata ukiwataja hapa haisaidi wao wamekuwa kama ugongwa kujiandikia lolote ilimradi mkono uende kinywani hawafikiri juu ya Tanzania ya kesho kwa vizazi vijavyo wanafikiri leo watakunywa Bia ngapi basi siku ipite.
Ahaa haa Chapakazi Bwana; anaweza kupitia michango yote kuanzia mwanzo kama shida yake ni kuainisha majina ya watu maana kuna wengine hata ukiwataja hapa haisaidi wao wamekuwa kama ugongwa kujiandikia lolote ilimradi mkono uende kinywani hawafikiri juu ya Tanzania ya kesho kwa vizazi vijavyo wanafikiri leo watakunywa Bia ngapi basi siku ipite.