Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,564
- 7,973
mkuu
chadema hawajui kabisa politics behind the door
wanahitaji kujifunza hilo somo
unamuona raila odinga,amefikaje hapo????
wangejifunza hawa watu....
wakati wa reagan,marekani waliwauzia silaha iran
unaweza shangaa hapo inakuwaje,wakati iran ndio adu wao mkubwa?
ni politics behind the door,na kuwa na strategy za mtazamo wa mbali
hivi tmesahau pia jinsi chadema walivyompoteza mwenyekiti wa bawacha....
hawajifunzi kabisa....
Kwamba chadema hawajui politics, hizi ni kauli za wanamagamba na washabiki wao.
chadema wameondoka wangapi na chama kinazidi kusonga mbele? unamzungumzia mwenyekiti wa bawacha wakati alishaondoka makamu mwenyekiti Dr. Kabouru lakini chama kimezidi kusonga mbele.
Hizo siasa mnazotaka chadema ifanye ni za huko huko mliko, wao wana siasa zao wenyewe, mtu akishindwa kujiheshimu kwa kiwango cha utovu wa nidhamu wa waliokuwa madiwani, hakuna namna ya kuwasaidia zaidi ya kuwavua uanachama. Ili watafute mahali pengine wanapoweza kufanya siasa bila kuheshimu viongozi wao wa juu.