Sizinga
Platinum Member
- Oct 30, 2007
- 9,100
- 6,022
Nimesikia kwenye gazeti la MwanaHalisi(leo) kwamba Uongozi wa Juu wa Chadema umekanusha vikali kauli ya Zitto kabwe kwamba Plan ya Chadema kuonana na Rais kuzungumzia Suala la Katiba Mpya kwa mara ya kwanza lilitolewa na Regia Mtema(R.I.P).
Wamesema si kweli kwani plan ya kuonana na Rais ilitolewa ndani ya Sekretariati Kuu ya Chadema na Muh Regia sio mjumbe wa Tume hii. Upii ukweli hapa?? Na iweje Zitto aliseme hili ilhali haikuwa kweli kwa kadri ya madai hayo ya viongozi wa JUU??
Wamesema si kweli kwani plan ya kuonana na Rais ilitolewa ndani ya Sekretariati Kuu ya Chadema na Muh Regia sio mjumbe wa Tume hii. Upii ukweli hapa?? Na iweje Zitto aliseme hili ilhali haikuwa kweli kwa kadri ya madai hayo ya viongozi wa JUU??