Uamsho waanza harakati zao upya huko Zanzibar

big no....moro imejaa wakristo watupu ndio maana kuna makanisa hadi isipoingia pikipiki.tena miaka na miaka.
e.g matombo,kidodi,tegetero,msongozi
Ninakusudia Waislamu wa Morogoro!
Hayo Makanisa yasikushituwe Waislamu katika miji ya Ulaya kila kukicha wanayabadilisha kuwa misikiti! teh teh teh.
Tukirudi kwenye mada: Wakisusia sensa Wazanzibari, Dar, Tanga na Moro sio mbaya kwa kuanzia sensa ijayo wataongezeka Mtwara, Lindi,Kigoma,Tabora na Singida........suala la sensa kwa njia nyingine ni zuri kwa vile
linawaunganisha Waislamu.
 
Ninakusudia Waislamu wa Morogoro!
Hayo Makanisa yasikushituwe Waislamu katika miji ya Ulaya kila kukicha wanayabadilisha kuwa misikiti! teh teh teh.
Tukirudi kwenye mada: Wakisusia sensa Wazanzibari, Dar, Tanga na Moro sio mbaya kwa kuanzia sensa ijayo wataongezeka Mtwara, Lindi,Kigoma,Tabora na Singida........suala la sensa kwa njia nyingine ni zuri kwa vile
linawaunganisha Waislamu
.

hahahahaha!haitotokea mje kuungana ata siku moja, Eid yenyewe kila muislamu anashelekea kwa siku yake....yani nyie ndugu zetu ni vululuvululu.

si umeona matamko juu ya sensa na mgomo wa madaktari ata atujui tuchukue lipi la Ponda au Mufti au shura..

may be SHUGHULI tu ndio zinaweza kuwaunganisha.
 
Bora mfungo ufike tupumue kwa muda maana ni muda pekee nchi hua tulivu. Hawa jamaa I wish wakianza kufunga mwezi usiandame milele. Kero juu ya Kero....
 
unajua sababu za kugomea sensa kwa waislam? Au unatoa comment ulizotumwa na padri wako.

vitu vingine mnavyofanya havina maana Sensa inaiwezesha serikali kujua idadi ya watu wake na hua inaiwezesha serikali kupannga vizuri mipango yake ya maendeleo, sasa kama mnagomea Sensa nashindwa kuelewa uelewa wenu na akili zenu zinakua ni za kipuuzi sasa kama mnagomea sensa idadi ya watu itajulikanaje na serikali itapanga vipi mikakati yake? na kama mnataka mjulikane kua mpo wangapi jiandikisheni huko msikitini
 
Kweli sasa naona nchi haitawaliki...

Yaani ulikuwa hujagundua kwamba nchi haitawaliki,Mr Dhaifu anatamani muda wake uishe hata kesho akaishi uarabuni,manake ile ikulu anayojenga pale kwao itakuwa chungu.
 
UAMSHO waseme hawaitaki CCM na CCM B aka CUF. Maana hawa ndio chanzo cha matatizo yote.
 
katika kuchunguza waislam wamegundua idadi yao ni kubwa kuliko dini nyingine.lakini kanisa katoliki kupitia website yake inaonesha wao wapo wengi kuliko waislam.hapo hapo shirika la marekani linaonesha wakristo wapo 62%, waislamu 35%,na dini zingine 3%.utafiti huu umefanywa 2009 wametoa wap???sasa serikali wanatoa kipengele cha dini katika sensa kwanini??

hivi kabila gani ni wengi zaidi tanzania?
 
utafiti mdogo sehem kubwa ya wakaazi wa dar,zenji,tng,moro,,bukoba,mwnz, hawatoshiriki sens je serikali iko serious kwel
 
Ili kutatua tatizo ni lazima vyombo husika vikae na kuwasilikiliza Kundi la Uamsho. Muungano ni kitu kizuri endapo pande zote zinazohusika zinakubaliana kwa dhati lakini kama kuna aina yoyote ya kutoelewana kwa namna yoyote ile, Muungano una weza kuwa chanzo cha kutoelewana. Mfano kama unafanyabiashara (partnershipri) na mwezako halafu ukagundua yeye ananufaika zaidi ya wewe katika biashara hiyo lazima utamuuliza. Kama hatataka suluhu, utamwita mtu mwingine ili asaidie kuwapatanisha. Ikishindikana unaweza kwenda mahakamani kuomba Mahakama ivunje rasmi biashara hiyo. Hivyo, lazima tutafakari kwa kina umuhimu wa Muungano. Kama kuna umuhimu, je uendelee kuwa katika sura hii au nyingine?
 
Je, endapo Muungano utavunjika, Sisi Wazanzibar tuliopo bara au Wabara waliopo Zanzibar hatima yetu itakuwaje?? Tutapata wapi Umeme, Mkaa, Nyama, Mchele nk?
 
katika kuchunguza waislam wamegundua idadi yao ni kubwa kuliko dini nyingine.lakini kanisa katoliki kupitia website yake inaonesha wao wapo wengi kuliko waislam.hapo hapo shirika la marekani linaonesha wakristo wapo 62%, waislamu 35%,na dini zingine 3%.utafiti huu umefanywa 2009 wametoa wap???sasa serikali wanatoa kipengele cha dini katika sensa kwanini??

Chanzo cha takwimu siyo sensa peke yake, rudi shule au muulize mwalimu wa jiografia wa hapo mtaani kwenu!
 
wataambiwa tuu kuwa watanzania wapo zaidi ya mill 45,then watajua wenyewe ktk idadi inayokadiriwa mill 55 wao ni ngapi? Na mchango wao kwa maendeleo ya taifa ukilinganisha na hasara waisababishayo kwa taifa
 
Wazo binafsi. Tukitaka kuondoa tatizo la Muungano tutahitaji kwa dhati kutekeleza yafuatayo:1) Kila Mzanzibar Mwanaume ambaye hajaoa ajitahidi kuoa Mtanzania Bara na Kila Mtanzania Bara aoe Mzanzibar. Vilevile kila mmoja ajitahidi kuondoa suala la udini kwa kubatiza au kusilimisha. Taqbir, Taqbir
 
Wazo binafsi. Tukitaka kuondoa tatizo la Muungano tutahitaji kwa dhati kutekeleza yafuatayo:1) Kila Mzanzibar Mwanaume ambaye hajaoa ajitahidi kuoa Mtanzania Bara na Kila Mtanzania Bara aoe Mzanzibar. Vilevile kila mmoja ajitahidi kuondoa suala la udini kwa kubatiza au kusilimisha. Taqbir, Taqbir
 
Mimi huwa najiuliza, wananchi wa Zanzibar wakiulizwa kwenye maoni wakasema kwa wingi wao tunataka muungano wataheshimu matakwa ya wengi?, au ndio watageuka Boko Haram?

Mkuu hujasikia kuwa huko Kusini Unguja walikotegemea CCM wamebwagwa, ktk maoni ya katiba kwa kupata:

Wanaotaka Serikali 2:=45%; na Wasiotaka muungano = 55%.

Sasa kama huko kwenye CCM wengi hali ni hiyo jee huko Pemba na kask unguja na Mkoa wa Mjini Magharibi itakuwa 20% ya wanaotaka muungano.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom