Kila ninapofikiria juu ya Harakati za Mombasa Republican Council kuhusu kujitenga kwao na KENYA ili warudi ZANZIBAR kwa wakati huu, pia nikiangalia harakati za UAMSHO naona kama kuna kitu kibaya kiko mbeleni.
Madai ya MRC na yale ya UAMSHO ni kama yanafanana. Wasiwasi ni kwamba, kama tukiwaangalia UAMSHO kama kikundi cha Wahuni fulani tu Zanzibar huku tukipuuzia kile kinachendelea KENYA, basi iko siku tutajuta.
Soma article hii halafu utaelewa nini ninachokizungumzia.
View attachment Mombasa Republican Council.doc
Madai ya MRC na yale ya UAMSHO ni kama yanafanana. Wasiwasi ni kwamba, kama tukiwaangalia UAMSHO kama kikundi cha Wahuni fulani tu Zanzibar huku tukipuuzia kile kinachendelea KENYA, basi iko siku tutajuta.
Soma article hii halafu utaelewa nini ninachokizungumzia.
View attachment Mombasa Republican Council.doc