Wiki hii, Sheikh Farid na wenzake wamefikishwa kortini baada ya Sheikh Farid 'kutekwa' na kusababisha vurugu kubwa Zanzibar. Wengi tulitegemea wangeshitakiwa kwa vurugu za wafuasi wao wiki iliyopita.
Tujiulize; kwa nini washitakiwe kwa makosa waliyofanya mwezi Agosti? Serikali ilikuwa wapi wakati Masheikh hao wakivunja sheria Agost? Kwa nini Serikali inafumbia macho uvunjaji wa sheria kwa baadhi ya vikundi na watu, ni kwa maslahi ya nani?
Tabia hii ya kufumbia macho uvunjaji.
Tujiulize; kwa nini washitakiwe kwa makosa waliyofanya mwezi Agosti? Serikali ilikuwa wapi wakati Masheikh hao wakivunja sheria Agost? Kwa nini Serikali inafumbia macho uvunjaji wa sheria kwa baadhi ya vikundi na watu, ni kwa maslahi ya nani?
Tabia hii ya kufumbia macho uvunjaji.