marandu2010
JF-Expert Member
- Aug 7, 2010
- 1,199
- 435
Wakuu salamu zangu kwenu:
Nimekuwa na wafanyakazi kadhaa katika biashara ambao kitu kikubwa cha kukosana nao ni kutokuwepo kwa uaminifu katika pesa,,si mimi tu ila watu wengi sana wamewafukuza wafanyakazi wao kutokana na tatizo hili.
Hivi ni kwa nini watu wengi wanadharau uaminifu,,halafu huku ikijulikana wazi kabisa kwamba mwenyewe atajua.??
Uaminifu ni kitu kizuri sana kwa watu wenye fikira ndefu tofauti na wale wenye mitazamo mifupi,,mimi kwa mtazamo wa haraka huwa naona kama watu wa namna hii ni watu wasiofikiria kabla ya kutenda...maana kile unachomfanyia mwenzio mwenye kufikiria huwa anaimagine kama angefanyiwa yeye ingekuwaje?? Akiona ni safi basi ndio anakipitisha,,,lakini pia hufikiria hasara zake..
Kwa kutilia mkazo post hii kuhusu uiaminifu,,hebu tumnukuu raisi wa tatu wa marekani aliyejukana kwa jina la thomas jefferson aliyesema "honesty is the first chapter of wisdom" yaani uaminifu ndio ukurasa wa kwanza kabisa wa kitabu cha hekima" raisi huyu alikuwa ni mwenye kutafakari sana na alipelekea mafanikio makubwa katika nyanja nyingi sana zilizokuwa zikiwagusa wamarekani kwa kipindi hicho...kwa maneno haya ni kwamba watu wasio waaminifu ni watu wasio na hekima,na mtu akitaka kuwa na hekima basi sharti aanze kwa kuwa mwaminifu..
Msemo mwingine huu hapa "trust is the basis of all relations but a small mistake can harm all the relations just as a missing t can rust the relation" ukisisitiza mahusiano ya aina yeyote yamesimikwa katika mhimiri wa kuaminiana lakini kosa dogo katika huku kuaminiana lina madhara makubwa sana hata kuua kabisa mahusiano bila kujali yalikuwa muhimu kiasi gani..
Uaminifu,,,unazipa nafsi za watu waliokuzunguka raha na wanajisikia usalama kuwa na wewe..
Sijui nielezee vipi???? Lakini katika yoyote yale ninayozungumza namaanisha uaminifu ni kitu kizuri kuliko kutokuwa mwaminifu,,,semeni wakuu nyinyi mna mtazamo gani katika hili..
Asanteni
Nimekuwa na wafanyakazi kadhaa katika biashara ambao kitu kikubwa cha kukosana nao ni kutokuwepo kwa uaminifu katika pesa,,si mimi tu ila watu wengi sana wamewafukuza wafanyakazi wao kutokana na tatizo hili.
Hivi ni kwa nini watu wengi wanadharau uaminifu,,halafu huku ikijulikana wazi kabisa kwamba mwenyewe atajua.??
Uaminifu ni kitu kizuri sana kwa watu wenye fikira ndefu tofauti na wale wenye mitazamo mifupi,,mimi kwa mtazamo wa haraka huwa naona kama watu wa namna hii ni watu wasiofikiria kabla ya kutenda...maana kile unachomfanyia mwenzio mwenye kufikiria huwa anaimagine kama angefanyiwa yeye ingekuwaje?? Akiona ni safi basi ndio anakipitisha,,,lakini pia hufikiria hasara zake..
Kwa kutilia mkazo post hii kuhusu uiaminifu,,hebu tumnukuu raisi wa tatu wa marekani aliyejukana kwa jina la thomas jefferson aliyesema "honesty is the first chapter of wisdom" yaani uaminifu ndio ukurasa wa kwanza kabisa wa kitabu cha hekima" raisi huyu alikuwa ni mwenye kutafakari sana na alipelekea mafanikio makubwa katika nyanja nyingi sana zilizokuwa zikiwagusa wamarekani kwa kipindi hicho...kwa maneno haya ni kwamba watu wasio waaminifu ni watu wasio na hekima,na mtu akitaka kuwa na hekima basi sharti aanze kwa kuwa mwaminifu..
Msemo mwingine huu hapa "trust is the basis of all relations but a small mistake can harm all the relations just as a missing t can rust the relation" ukisisitiza mahusiano ya aina yeyote yamesimikwa katika mhimiri wa kuaminiana lakini kosa dogo katika huku kuaminiana lina madhara makubwa sana hata kuua kabisa mahusiano bila kujali yalikuwa muhimu kiasi gani..
Uaminifu,,,unazipa nafsi za watu waliokuzunguka raha na wanajisikia usalama kuwa na wewe..
Sijui nielezee vipi???? Lakini katika yoyote yale ninayozungumza namaanisha uaminifu ni kitu kizuri kuliko kutokuwa mwaminifu,,,semeni wakuu nyinyi mna mtazamo gani katika hili..
Asanteni