The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
Aisee hebu nyamaza natafuta spika mpya wa bunge....
Spika wako mpya ni Baba G
Aisee hebu nyamaza natafuta spika mpya wa bunge....
Mabere Marando:loco::loco::loco:
mbona we unachukua wake za watu kila ciku?Mkuu unaweza kutoa mchanganuo? I mean wanaume vs wanawake....
Nadhani kwa wanawake uwezekano wa kutii kiapo cha ndoa ni mkubwa kuliko wanaume...
Spika wako mpya ni Baba G
mhh...haya bwana! hivi kuna watu bado wanawaamini ma partner zao 100%?....labda mie nakosea.
mbona we unachukua wake za watu kila ciku?
Unapomwita Baba G ni mwanamke.....najua yeye ni mfalme wa digidigi na ni kadume....
UMESEMA ASILIMIA 97Rose1980:
Hawapo... NUKTA
Inawezekana wewe unaongelea nadharia zaidi - Mimi ninaongelea uzoefu my dear - being married for 15+ years na nimebahatika kutembea 80% ya Tanzania anf a couple of countries abroad.
Kwa Dar hapa ninapoishi sasa nime-interact na watu wa aina zote za maisha - Upanga hadi Oysterbay, Kinondoni hadi Temeke, Mikocheni hadi Bunju. Pia maudhurio yangu kwenye sehemu za starehe ni MAZURI sana!
Nimefanya utafiti kuhusu mienendo ya Wana Ndoa na taasisi moja hapa Dar es Salaam na Mwanza mara mbili kwa kutumia "sample" tofauti. Na kila mara watu wote tuliowahoji wanandoa 97% walikubali kuwa at least once walishawahi kutembea nje ya ndoa!
samahani jamani... ndo kwaaanza naamka, haya maisha ya dunia ya kwanza ya ajabu sana... hii mada inazungumzia nini?
Nimefanya utafiti kuhusu mienendo ya Wana Ndoa na taasisi moja hapa Dar es Salaam na Mwanza mara mbili kwa kutumia "sample" tofauti. Na kila mara watu wote tuliowahoji wanandoa 97% walikubali kuwa at least once walishawahi kutembea nje ya ndoa!
mke wa mtu gan kamchukua?mbona we unachukua wake za watu kila ciku?
Unapenda jogoo au kuku au mtetea...
mke wa mtu gan kamchukua?
Stak mieeeeeeeeeee:yield::yield:roy anachukua na kutumia vya watu!!!!!
mke wa mtu gan kamchukua?
stak mieeeeeeeeeee:yield::yield:roy hachukui wala kutumia vya watu!!!!!
Spika wako mpya ni Baba G
hahahahhahaha umenikumbusha ndo yale ya kina PIRITA!!!wapi bwana weee!
unakumbuka enzi zako pale chuo cha ardhi?