Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,211
- 113,520
My oxhead dictionary.
I figured as much!
My oxhead dictionary.
Mia mia bro.I figured as much!
Mia mia bro.
its like that mkuuMwenzio nilisha unbuka nilipomwambia rafiki yangu kuwa mkewe anagawa chakula cha usiku kwa wasela. Si alikwenda kumambia mkewe kuwa mie ndio ource ya hiyo habari na matokeo yake nikawa adui ktk familia ile. Lakini baada ya kipindi cha miezi kadhaa si akawafumania laivu jamaa wakila kile chakula. Na sasa hivi wameachana na ma msapu wake na anaona aibu kuniomba radhi
Binafsi hua nafikiria siku nikiwa kwenye mahusiano alafu mwenzangu akawa sio mwaminifu...mtu wangu yeyote wa karibu akajua ningependa aniambie.Na ikitokea asipofanya hivyo nikaja kugundua alijua akanyamaza ntamkasirikia.
Faida ya kuambiwa ni kwamba unajua kinachoendelea na unajipanga kukabiliana na ulichoambiwa.Ubaya ni pale unapotembea kichwa juu ukijua umepata kumbe kila mtu anajua umepatikana.Wanakuchora kwa maana nyingine.
Je wewe unaonaje?Uambiwe au uachwe kizani?
Kwanini tuna-focus kwenye negative tunapokuwa kwenye mahusiano??
Hebu tubadilike tunavyoyachukulia mahusiano. Kwenye mahusiano kuna raha nyingi sana, kama kufundishana, kukumbushana, kuelemishana, kutiana moyo, kufarijiana, kuonyana, na n.k.
Sio vizuri kuanza mahusiano ukiwa na wasiwasi au hujiamini au kumuamini mwenzio..
very good Lizzy,
I was just like you when i was single, ukishaingia kwenye ndoa, ukajua maana ya ndoa na majukumu yake, siku zote utakua unasali usijue afanyayo mwenza ili ndoa yenu iwe imara na watoto wapate malezi mema
I wish ningeweza kudocument hii post halafu ten years down the road tuirejee wote, Mungu akituweka hai
:tape:
Mbona unataka kuvuka daraja kabla hujalifikia ? Tukuambie kuhusu mpenzi wako halafu mkielewana tuonekane wambea eeeh ?
Kwanini tuna-focus kwenye negative tunapokuwa kwenye mahusiano??
Hebu tubadilike tunavyoyachukulia mahusiano. Kwenye mahusiano kuna raha nyingi sana, kama kufundishana, kukumbushana, kuelemishana, kutiana moyo, kufarijiana, kuonyana, na n.k.
Sio vizuri kuanza mahusiano ukiwa na wasiwasi au hujiamini au kumuamini mwenzio..
na wee naweKwa mara nyingine nisubirie ndoa ndo ntajua ehhhh??
Mi ndoani au la...popote pale ntataka kujua maana sitaki kua kicheko cha mji!
Mi sitaki kabisa kuambiwa, kama lipo nitalijua tu mwenyewe na kujua ni deal nalo vipi. Kwani mimi naamini jambo baya huwa halifichiki kwa muda mrefu, ipo siku nitajua tu.
Binafsi hua nafikiria siku nikiwa kwenye mahusiano alafu mwenzangu akawa sio mwaminifu...mtu wangu yeyote wa karibu akajua ningependa aniambie.Na ikitokea asipofanya hivyo nikaja kugundua alijua akanyamaza ntamkasirikia.
Faida ya kuambiwa ni kwamba unajua kinachoendelea na unajipanga kukabiliana na ulichoambiwa.Ubaya ni pale unapotembea kichwa juu ukijua umepata kumbe kila mtu anajua umepatikana.Wanakuchora kwa maana nyingine.
Je wewe unaonaje?Uambiwe au uachwe kizani?