Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,426
- 18,228
Mgekuwa adimu usinge leta mnada hapa, nini kinawafanya mtange na njia vitaa vyote vyenu kusaka warembo?
we umekamilika kwangu baby
Mgekuwa adimu usinge leta mnada hapa, nini kinawafanya mtange na njia vitaa vyote vyenu kusaka warembo?
Nimejiandaa kupigana.
Nimejiandaa kupigana.
Nina dedikeshen lako lakini usinitafte leo.hahahahahahahaha, kloro si mzima
Nina dedikeshen lako lakini usinitafte leo.
Utabiri: Basi Judgement na mikwala yake litajidai kuja kusoma hii post
usimtaje taje jg wangu, atajing'ata bure
Maandiko yanasema , kila ajing'atae mtambueni ni mtenda zambi. Source: dini flani ya bangaladesh
Nashkuru kumpata mtu wa kuhubiri nae neno kwa leo, yaani leo nimeamka na mzuka wa paradiso kweli.wale wanaodanganya, ufalme wa mbinguni watausikia kwa majirani tu.
Source: mpwapwa, ufufuo na uzima.
Nina dedikeshen lako lakini usinitafte leo.
Utabiri: Basi Judgement na mikwala yake litajidai kuja kusoma hii post
JudgementNtaachaje kupita klorokwini ? Hata miezi miwili haijapita nimetoka kulipa mifweza ya fees $ 4500
za huyu bibie!
Plus posho ndogo ndogo!
Hii meli ieleayo haikushuka from mbingu !
Wajengaji tupo.
Nashkuru kumpata mtu wa kuhubiri nae neno kwa leo, yaani leo nimeamka na mzuka wa paradiso kweli.
Wahubirie pia kwamba pombe ni mkojo wa ibliiis source: jirani yangu mlevi alotubia
haleluyaaaa baba paroko, bila kusahau bangi ni chakula cha malaika mtoa roho.
Leta wimbo wa kufungia maombi, halaf naomba u MC kwenye halusi lenu
hapa ni sebene la yesu mwanzo mwisho. We unaota, halusi ishapita. Lol
kadi zimeisha ila michango bado inapokelewa.lolDah! nimekukosea nini jamani, yaani hata kadi haukunipa? sawa bana nitasubiria ya nazjaz