Rostam ndiye anayejua zaidi!
Chama kushika hatamu!
Spika hapo ni Mhe Makinda, ...opposition kilio!
Mhe Ndugai naye atachukua umakamu.
Naona ni mabifu tuu ccm walau Anna makinda anaweza faa kidogo
Hawa jamaa watatuuwa na wastaafu. Kila spika anayestaafu anapewa gari jipya, na ataendelea kupata 80% ya mshahara wa spika aliyeko madarakani kwa maisha yake yote.... je ileofisi ya spika Urambo itatumika kwa ajili ya nini?
hili jina Anna Makinda limetuchosha tangu tunasoma Primary hadi sasa watoto wetu wanasoma!!!!!!!
Ushindi wa Anna Abdallah ni ushindi wa Msekwa dhidi ya 6Kamati Kuu ya CCM imependekezea majina yafuatayo kugombea Uspika: 1. Anna Makinda 2. Anna Abdallah 3. Kate Kamba Kwa hivyo Mzee wa Vijisenti out, Sitta out!!! Source: Channel 10 News Bulletin 3 minutes ago.
Chadema hebu tuleteeni Mabele Marandu,tumechoshwa na baadhi ya maamuzi.Hata sisi wabunge wa thithiemu tutampigia.Wananchi wanataka maendeleo zaidi kuliko kubebana
Kamati Kuu ya CCM imependekezea majina yafuatayo kugombea Uspika:
1. Anna Makinda
2. Anna Abdallah
3. Kate Kamba
Kwa hivyo Mzee wa Vijisenti out, Sitta out!!!
Source: Channel 10 News Bulletin 3 minutes ago.
Mhh na Anna abdala je huyu si wa Msekwa! :A S angry: