Kabaridi
JF-Expert Member
- Nov 15, 2011
- 2,023
- 534
Nchi ya Iran wana ujasiri mno wakati huu, kwa sababu Urusi wanawasadia kukuza silaha za kinuclear. Tena wanaongozwa kudai vita na US kwa vile wenzao Syria wanavofanya. Kamati kuu ya kiarabu "Arab league" wamo humo Syria, lakini bado kuna madai ya wananchi wa kawaida kuuliwa na serikali ya rais Assad. Wacha Iran waendelea kulilia wembe.