Mbonea
JF-Expert Member
- Jul 14, 2009
- 640
- 20
Wadau, ningependa kufahamu kama kweli Tanzania tuna real commedians coz tangu King Majuto apotee kwenye luninga zetu naona wamechepuka vijana ambao hawachekeshi ila wanaforce watu wacheke?
kwa mm nadhani Majuto alikuwa zaidi maana yule jamaa akisimama tu unacheka, je akiongea?
Aksanteni.
kwa mm nadhani Majuto alikuwa zaidi maana yule jamaa akisimama tu unacheka, je akiongea?
Aksanteni.