Vyombo vya habari nchini kwetu vinachangia kurudisha nyuma maendeleo nchini.Hivi kweli imefikia hatua sasa nchi yetu coverage kubwa na hot headlines za media zimekuwa ni juu ya hali za afya za viongozi na majina ya nani anafaa kuongoza au kua kiongozi. Media zimeacha mambo ya msingi juu yaa hali ya wananchi na matatizo yao.
Je hii ndio Tanzania tunayoitaka.
Je hii ndio Tanzania tunayoitaka.