TZ economy to surpass Kenya, forecast shows. Hongera Kikwete!

Katika ufisadi mheshimiwa rais wetu naona speed yake inatuangusha wengi na kutuhuzunisha. Nadhani hili bila ya yeye kulifanyia kazi litakuwa doa katika utawala wake. Kuhusu umeme subiri mwaka huu ukiisha nadhani matatizo ya umeme yataisha kabisa. Vile vile nimefurahi serikali imesikia kilio chetu cha kufufua mradi wa Stieglers gorge ambao utatokomeza kabisa tatizo la umeme nchini kwa kipindi cha muda mrefu. Hivyo katika umeme I am optimistic but katika ufisadi nina shaka napo.

hawajafufua bali wana mpango wa kuundeleza huo mradi wa stieglers. swali. je,wana fedha za kuuendeleza au tunamtegemea cameron?
 
Nani kakuambia foreign investors ni wakenya hebu zilete hizo takwimu maana mie nina takwimu za kutoka World Bank hazisemi hivyo hebu tupatie takwimu zako. Mwekezaji mkubwa nchini ni mwingereza, akifuatiwa na Denmark na Norway, then anakuja USA, Russia na kuendelea haya hao wakenya wako wapi?

Sikubaliani na wewe, wawekezaji wakubwani; Kenya inaongoza
(wana miradi mingi ingawa ni midogomidogo), Uingereza na
Afrika Kusini, sasa sijui takwimu zako umezitoa wapi? Naomba
kama una reference iweke hapa JF...
 
Nani kakuambia foreign investors ni wakenya hebu zilete hizo takwimu maana mie nina takwimu za kutoka World Bank hazisemi hivyo hebu tupatie takwimu zako. Mwekezaji mkubwa nchini ni mwingereza, akifuatiwa na Denmark na Norway, then anakuja USA, Russia na kuendelea haya hao wakenya wako wapi?
Mdondoaji,
Mwekezaji mkubwa Tanzania ni Uingereza. Kenya is number 2. USA is number 5. Angalia tena data zako.
 
Nyunyu,

Kenya wanafanya development hizo lakini wakiwa na mategemeo ya kuifanya EAC kuwa makao makuu yake ni NAIROBI. Vile vile wakenya walikuwa wanataka Mombasa iwe bandari kubwa na vile vile kufanya Nairobi iwe financial city. Ndio sababu wakenya wamekuwa vinara kutuimbia kuharakisha EAC ili watuingize mkenge kama miaka ya 1970. Our economy is boosted by the growth in the mining sector, infrastructure and service sectors. Vile vile uchumi wetu uko diversify ijapokuwa kuna haja ya kuboresha sekta ya kilimo. Pia nchi kama Uganda na Rwanda zimeanza kuwa na wasiwasi na pressure ya Kenya na kulegalega kwa speed ya Tanzania katika EAC. Kama umesikia mwezi uliopita Rais wa Uganda alikuja kuwekeana mikataba ya kuboresha miundo mbinu ya bandari na reli na vile vile uwezekano wa kuwa oil pipeline from Mwanza hadi bandari ya Tanga (akiwageuka rafiki zake Wakenya ambao walianza kujenga Lamu Bandari mpya).

Check your facts right mkuu uwekezaji nchini unakuwa kwa kasi kubwa sana kuliko Kenya. Tanzania ni ya pili kwa afrika mashariki baada ya Uganda kwa uwekezaji kwa mujibu wa statistics za IMF na World Bank.

Mdondoaji,'
Katika madini, kama hatutafanya mabadiliko katika mikataba, mapato ya madini yataendelea kuwa kwenye karatasi tu huku nchi ikiambulia patupu.
 
Mdondoaji,'
Katika madini, kama hatutafanya mabadiliko katika mikataba, mapato ya madini yataendelea kuwa kwenye karatasi tu huku nchi ikiambulia patupu.

Inashangaza eti kusikia wauzaji wakubwa wa madini ya tanzanite
(madini yanayopatika Tanzania tu) ni South Africa, Kenya na India!
Mbali ya mikataba tunahitaji pia uangalizi mkubwa kwenye rasilimali
zetu...
 
Mdondoaji,
Mwekezaji mkubwa Tanzania ni Uingereza. Kenya is number 2. USA is number 5. Angalia tena data zako.


Huyu jamaa huwa andhani hapa watu wote ni vilaza kama yeye.

I reserve my comment for now
 
Tanzania twatakiwa kuwa ya kwanza africa na duniani ndani ya top 10 interms of gdp kama tutadevelop fully resources zetu!
Kenya kuwavuka sio issue bse wako bize na Al shababy!
Alafu mnapojisifu ndani ya EA wakati ni nchi 4 tuu jamani tujilinganishe na dunia au bara la Africa
 
By peter Nyanje
The Citizen Reporter
Dar es Salaam. Tanzania is set to overtake Kenya as East Africa’s biggest economy by 2030 if the current Gross Domestic Product (GDP) growth rate remains the same, according to Standard Chartered Bank forecast.

Mr. Mdondoaji,
That word "IF", is and says everything. The projections are entirely knighted and hanging by it. Naff said
 
Anyway, did u, personally, bother to think just out or beyond IMF & WB projections? You should never discount or underestimates political factor in view of tranquility and stabilty. This region is predictably encamped by pending natural calamities , civil unrests (even wars) and high-level crimes. Not that they are inevitable but they are encrouch the vicinity; but no effort exists knowledgeably to fend them off.

Can u positively envision Tz in the next two/three years frm now? i.e. 10% of projected period.
 
Hivi Standard Chatered wanafanya projection,prediction,beting au kamari?
Uchumi kwenye makaratasi haunatija hata siku moja hizi ni ndoto za mchana kweupe.
Je ni mikakati hipi ccm inafanya kuondoa umaskini wa kipato,ukusefu wa ajira etc?
 
Sikubaliani na wewe, wawekezaji wakubwani; Kenya inaongoza
(wana miradi mingi ingawa ni midogomidogo), Uingereza na
Afrika Kusini, sasa sijui takwimu zako umezitoa wapi? Naomba
kama una reference iweke hapa JF...

Wewe mtu usifikiri unazungumza na mtu kihiyo. Nimekuuliza leta data zinazosema Kenya wana miradi mingi Tanzania usizungumze siasa ndugu. Anyway ngoja mie nikuambie data za World Bank zinasemaje?
1. OECD -53.8.
a. United Kingdom - 14.8-20%
b. Canada - 14%-11%
c. Japan- 4.6%
d. USA - 4.6
the rest. iliyobakia.

2. Africa:- 41%
a. South Africa - 24%
b. Kenya - 3%-7%
c. Ghana - 4.6%
d. Mauritius- 4.5%
the rest iliyobakia.

The rest of the world - 5.2%
a. Malaysia- 1.1%
b. China- 1%
c. India- 0.6%
d. UAE- 0.1%
the rest ilyobakia.

Sasa wajuaji nyie hebu niambieni hao kenya wako wapi? India investment zao hazifikii hata 1% ya total Investments hebu nipatie data zenu basi zinazosema hivyo mnavyodai. Data nenda WorldBank, IMF.
 
Plz check don't just quote.
I may physically volunteer to take u round and show few multi-milions USD Kenyan's owned projects in Dar and Arusha. Remember not all things are listed @ WB/IMF database. In fact, they're operating under many disguises (names etc) hence merely figures won't depict what's on ground.

But I do sincerely agree with u that EA community is a cheat. It is set-out and proplKed by Kenya for Kenyans. Of coz they're so covetious to our land and its related resources. Socially, we also have better ground compratively to them so speak.
 
Plz check don't just quote.
I may physically volunteer to take u round and show few multi-milions USD Kenyan's owned projects in Dar and Arusha. Remember not all things are listed @ WB/IMF database. In fact, they're operating under many disguises (names etc) hence merely figures won't depict what's on ground.

But I do sincerely agree with u that EA community is a cheat. It is set-out and proplKed by Kenya for Kenyans. Of coz they're so covetious to our land and its related resources. Socially, we also have better ground compratively to them so speak.

Kaka/Dada,

Those figures World Bank na IMF wamezitoa from TIC (Tanzania Investment Centre) sasa hao wakenya mnaowaexaggerate nyie pengine wanafanya investment illegal but their investment in the country does not exceed even 5% mostly labda latest figure zitakuwa 7%. Sasa hizo biashara zengine za wakenya labda ujambazi mie sizijui lakini legitimate investment ndio hizo.
 
Mr Mdondoaji, are really ok with your brains funtioning normally? How can you conguratulate such illusive economic assumptions under a slack economy like ours? Please be sensible. Just imagine, in some areas of TZ a kilo of sugar produced in Tz costs Tsh. 1,500 more than the same kilo imported from Zambia!!! Oh my poor TZ!
 
Kaka/Dada,

Those figures World Bank na IMF wamezitoa from TIC (Tanzania Investment Centre) sasa hao wakenya mnaowaexaggerate nyie pengine wanafanya investment illegal but their investment in the country does not exceed even 5% mostly labda latest figure zitakuwa 7%. Sasa hizo biashara zengine za wakenya labda ujambazi mie sizijui lakini legitimate investment ndio hizo.

Ni sector gani za uchumi ambazo zinasiadia kupaisha huo uchumi ambao umeshaitwa uchwara, is it a sustainable growth au ndio hii baraka aliotupa mungu tu ya mariasili. South Africa despite being rich in resources bado wana internal manufacturing to propel their growth microeconomy. Hizi ni hadithi tu amna lolote chini ya mkullo na hiwapo interest rates za mikopo si chini ya 16 percent sijui huo uchumi utapaishwa na nini. Ohh let me guess madini na wawekezaji wasio kopa ndani wala kulipa ushuru. kwa mtaji huo tutasikia tu yale tunayotaka kusikilizishwa. Ukitoa makampuni ya bia, simu na mabenki wengine ni wanyonyaji tu wanaosaidia kupaisha gdp for the time being.
 
Back
Top Bottom