Mkulima mimi
JF-Expert Member
- Dec 12, 2009
- 233
- 31
Waungwana ni nini kinaendelea? magazeti yote yaliyo mrengo wa kushoto kwa serikali website zake hazipatikani
www.freemedia.co.tz/daima
www.raiamwema.co.tz
www.mwanahalisi.co.tz
zote zina kama matatizo yanayofanana tatizo ni nini hasa?
Mwananchi linapeta lenyewe bado lipo hewani! Hii inaweza kuhusianishwa na uchaguzi? Gazeti la tz daima baadhi ya maeneo limekuwa adimu sana. kama ilivyowahi kudaiwa humu kwamba linauzwa kama njugu! kuna ukweli kwenye hizi habari kweli??
www.freemedia.co.tz/daima
www.raiamwema.co.tz
www.mwanahalisi.co.tz
zote zina kama matatizo yanayofanana tatizo ni nini hasa?
Mwananchi linapeta lenyewe bado lipo hewani! Hii inaweza kuhusianishwa na uchaguzi? Gazeti la tz daima baadhi ya maeneo limekuwa adimu sana. kama ilivyowahi kudaiwa humu kwamba linauzwa kama njugu! kuna ukweli kwenye hizi habari kweli??