Tz daima, mwanahalisi, raimwema hayapo tena hewani!

Mkulima mimi

JF-Expert Member
Dec 12, 2009
233
31
Waungwana ni nini kinaendelea? magazeti yote yaliyo mrengo wa kushoto kwa serikali website zake hazipatikani
www.freemedia.co.tz/daima
www.raiamwema.co.tz
www.mwanahalisi.co.tz
zote zina kama matatizo yanayofanana tatizo ni nini hasa?
Mwananchi linapeta lenyewe bado lipo hewani! Hii inaweza kuhusianishwa na uchaguzi? Gazeti la tz daima baadhi ya maeneo limekuwa adimu sana. kama ilivyowahi kudaiwa humu kwamba linauzwa kama njugu! kuna ukweli kwenye hizi habari kweli??
 
Waungwana ni nini kinaendelea? magazeti yote yaliyo mrengo wa kushoto kwa serikali website zake hazipatikani
www.freemedia.co.tz/daima
www.raiamwema.co.tz
www.mwanahalisi.co.tz
zote zina kama matatizo yanayofanana tatizo ni nini hasa?
Mwananchi linapeta lenyewe bado lipo hewani! Hii inaweza kuhusianishwa na uchaguzi? Gazeti la tz daima baadhi ya maeneo limekuwa adimu sana. kama ilivyowahi kudaiwa humu kwamba linauzwa kama njugu! kuna ukweli kwenye hizi habari kweli??

Bado Jamiiforums!!!!!
 
nini kauli za wamiliki wao?watuambie basi kuliko kuwa na maswali ambayo wao wana majibu yake
 
acha utani! Unataka kusema ni mkakati au sijakupata viruzi!

Kama siyo matatizo ya magazeti yenyewe ktk website zao, basi huenda ni mkakati. CCM wana hofu kubwa kwelikweli ya kushindwa, take it from me! They are ready to travel great lengths to remain in power!!!!
 
Something is wrong somewhere,labda tunarudi enzi zile za IRON CURTAIN,kuna watu wanalipwa mishahara toka kodi za wananchi kazi yao ni kuaribu tu,kujenga hawawezi.Wamezoa vya kunyonga vya kuchinja ni matawi juu.
 
Kama siyo matatizo ya magazeti yenyewe ktk website zao, basi huenda ni mkakati. CCM wana hofu kubwa kwelikweli ya kushindwa, take it from me! They are ready to travel great lengths to remain in power!!!!

Unajua kadri siku zinavyokwenda naanza kuona hiyo hofu ya CCM, haiwezekani chama chenye all of the resources maybe X 1,000,000 OF ALL OTHER PARTIES kinaonekana kutapatapa. Inaonekana behind the scene kuna mengi yanaendelea kuhakikisha upinzani nakuwa weak. alkini wanashindwa eneo moja muhimu, TRUE AFFECTION CAN'T BE BOUGHT.
 
Nikweli ukifungua Tz Daima na Mwanahalisi message Web not found wakati Raia mwema you have reached Bandwidth limit.

Nivizuri wamiliki wakatupa sababu kwanini website zao hazipatikani.
 
Ok, naomba niwape ufafanuzi.

Domain name ZOTE zinazoishia na .TZ zili-expire ilipofika Julai 27, 2010. TZ-NIC, taasisi ya kiserikali inayosimamia usajili na usimamizi wa domain name hizo, ilitoa tangazo kuwataka wamiliki wa domain hizo wazirejeleshe (renewal) ndani ya siku 30 baada ya Julai 27, 2010. Tarehe ya kusimamisha domain ambazo zili-expire ilikuwa Julai 26, 2010, saa 1 usiku. Kwa hiyo, kuanzia siku hiyo, domain name hizo zimekuwa hazipatikani, huduma za Web na Email zikiwa zimesitishwa.

Kwa sasa, TZ-NIC imetoa muda wa mwisho wa siku 15 kwa domain name hizo kulipiwa ada ya kurejelesha, ili zisiondolewe kabisa mtandaoni.

Hakuna hujuma iliyofanyika, ni kwamba, ama wamiliki wa tovuti hizo WALIJISAHAU au hawakuwa na taarifa kamili. Mimi mwenyewe sikuwa na taarifa kamili, nina domain name zangu TATU ambazo zimesimamishwa kwa muda huu, ila nitazilipia wiki ijayo, zitarejea hewani.

Iwapo unamfahamu mtu mwenye tatizo hili, mwambie awasiliane na mtoa huduma (web hosting provider) wake ili afanye mpango wa kwenda ku-renew. Ada ya renewal kwa kila mwaka ni TZS 20,000. Kwa mawasiliano zaidi, tembelea wavuti ya tzNIC Home Page.

Asanteni.

-> Mwana wa Haki

P.S. Domain ya JamiiForums haisimamiwi na TZ-NIC.
 
Ok, naomba niwape ufafanuzi.

Domain name ZOTE zinazoishia na .TZ zili-expire ilipofika Julai 27, 2010. TZ-NIC, taasisi ya kiserikali inayosimamia usajili na usimamizi wa domain name hizo, ilitoa tangazo kuwataka wamiliki wa domain hizo wazirejeleshe (renewal) ndani ya siku 30 baada ya Julai 27, 2010. Tarehe ya kusimamisha domain ambazo zili-expire ilikuwa Julai 26, 2010, saa 1 usiku. Kwa hiyo, kuanzia siku hiyo, domain name hizo zimekuwa hazipatikani, huduma za Web na Email zikiwa zimesitishwa.

Kwa sasa, TZ-NIC imetoa muda wa mwisho wa siku 15 kwa domain name hizo kulipiwa ada ya kurejelesha, ili zisiondolewe kabisa mtandaoni.

Hakuna hujuma iliyofanyika, ni kwamba, ama wamiliki wa tovuti hizo WALIJISAHAU au hawakuwa na taarifa kamili. Mimi mwenyewe sikuwa na taarifa kamili, nina domain name zangu TATU ambazo zimesimamishwa kwa muda huu, ila nitazilipia wiki ijayo, zitarejea hewani.

Iwapo unamfahamu mtu mwenye tatizo hili, mwambie awasiliane na mtoa huduma (web hosting provider) wake ili afanye mpango wa kwenda ku-renew. Ada ya renewal kwa kila mwaka ni TZS 20,000. Kwa mawasiliano zaidi, tembelea wavuti ya tzNIC Home Page.

Asanteni.

-> Mwana wa Haki

P.S. Domain ya JamiiForums haisimamiwi na TZ-NIC.

kaka akhsante lakini mbona jana august 27 tz daima lilikuwa hewani? Na pia mwanahalisi na raia mwema yaliendelea kuwepo hewani hata baada ya july 27. Ni mwishoni mwa wiki hizi mbili ndiyo hayapatikani! Unaweza kutueleza zaidi ya hapo! Ila asante umetoa ukungu uliotanda!
 
hata daily news na habari lao hawapo hewani nilikuwa nataka kupata stary yao moja nimeshindwa kuingia katika web zao
 
hata daily news na habari lao hawapo hewani nilikuwa nataka kupata stary yao moja nimeshindwa kuingia katika web zao

Mimi nimepata Daily News, The Citizen, IPP Media, Mwananchi ila nimeshindwa Mwanahalisi, Tanzania Daima, Raia Mwema. Yale mengine yasiyo mrengo 'unaokubalika' sina kawaida ya kuyatafuta, hivyo sijui kama yanapatikana. Lakini nadhani MwanaHaki ametufungua macho kiusahihi! Asante kwake!
 
Ok, naomba niwape ufafanuzi.

Domain name ZOTE zinazoishia na .TZ zili-expire ilipofika Julai 27, 2010. TZ-NIC, taasisi ya kiserikali inayosimamia usajili na usimamizi wa domain name hizo, ilitoa tangazo kuwataka wamiliki wa domain hizo wazirejeleshe (renewal) ndani ya siku 30 baada ya Julai 27, 2010. Tarehe ya kusimamisha domain ambazo zili-expire ilikuwa Julai 26, 2010, saa 1 usiku. Kwa hiyo, kuanzia siku hiyo, domain name hizo zimekuwa hazipatikani, huduma za Web na Email zikiwa zimesitishwa.

Kwa sasa, TZ-NIC imetoa muda wa mwisho wa siku 15 kwa domain name hizo kulipiwa ada ya kurejelesha, ili zisiondolewe kabisa mtandaoni.

Hakuna hujuma iliyofanyika, ni kwamba, ama wamiliki wa tovuti hizo WALIJISAHAU au hawakuwa na taarifa kamili. Mimi mwenyewe sikuwa na taarifa kamili, nina domain name zangu TATU ambazo zimesimamishwa kwa muda huu, ila nitazilipia wiki ijayo, zitarejea hewani.

Iwapo unamfahamu mtu mwenye tatizo hili, mwambie awasiliane na mtoa huduma (web hosting provider) wake ili afanye mpango wa kwenda ku-renew. Ada ya renewal kwa kila mwaka ni TZS 20,000. Kwa mawasiliano zaidi, tembelea wavuti ya tzNIC Home Page.

Asanteni.

-> Mwana wa Haki

P.S. Domain ya JamiiForums haisimamiwi na TZ-NIC.

asante mkuu kwa kuwaumbua watu humu jf na kuwatia aibu. Nimefurahi sana kwa sababu mengi yanayoandikwa humu ni majungu tu. Hayana ukweli wala mashiko. Mtu kama ZAK MALANG alishaliazisha humu, sasa baada ya taarifa yako hii sijamuona atoe komenti tena. Ni aibu kwa kweli. Naamini fitina zao hazina muda mrefu, zitakuwa ziko open kwa public.
 
Ni ukweli JF inapeta jama online news papers are not available anymore including TZ Daima, Habari leo. Any one knows some circumstances could please drop us some lines?
 
kaka akhsante lakini mbona jana august 27 tz daima lilikuwa hewani? Na pia mwanahalisi na raia mwema yaliendelea kuwepo hewani hata baada ya july 27. Ni mwishoni mwa wiki hizi mbili ndiyo hayapatikani! Unaweza kutueleza zaidi ya hapo! Ila asante umetoa ukungu uliotanda!

Kimsingi ni kwamba domain ambazo zimekuwa SUSPENDED zimeondolewa kwenye ACTIVE ZONE ya TZ-NIC, lakini HAZIJAFUTWA.

Wahusika wakienda ku-renew, zinarejeshwa pale pale. Ni kiasi kidogo tu cha TZS 20,000/=.

TZ-NIC wako pale Ground Floor, LAPF Millennium Towers, ukiingia kwenye mlango mkuu ni upande wa kushoto, utaona kibao kinachoelekeza mahali ilipo ofisi yao.

Nashukuru nimepata fursa ya kutoa ufafanuzi.

-> Mwana wa Haki

P.S. Kama Tanzania Daima iliendelea kuwa hewani baada ya July 27, 2010, hilo lilikuwa kwa watu wote ambao domain zao zili-expire. Na pia, kama waliendelea kuwa hewani baada ya Agosti 26, 2010, hilo lilitokea kutokana na kitu kinaitwa DNS Cache. Ni suala la kitaalam zaidi, itabidi nichukue muda mrefu kuelezea, na ni mambo ambayo ni magumu kuyaelewa. Hata mimi domain zangu zimesitishwa... nina siku 15 tu kwenda kulipia, naenda wiki ijayo!
 
asante mkuu kwa kuwaumbua watu humu jf na kuwatia aibu. Nimefurahi sana kwa sababu mengi yanayoandikwa humu ni majungu tu. Hayana ukweli wala mashiko. Mtu kama ZAK MALANG alishaliazisha humu, sasa baada ya taarifa yako hii sijamuona atoe komenti tena. Ni aibu kwa kweli. Naamini fitina zao hazina muda mrefu, zitakuwa ziko open kwa public.

Kaka, kuna hujuma na kuna hujuma.... CCM wanacheza rafu... lakini kwa hili za TZ-NIC hawahusiki... Usiwe mwepesi kuwatetea.

Asante kwa maoni yako.
 
Mimi nimepata Daily News, The Citizen, IPP Media, Mwananchi ila nimeshindwa Mwanahalisi, Tanzania Daima, Raia Mwema. Yale mengine yasiyo mrengo 'unaokubalika' sina kawaida ya kuyatafuta, hivyo sijui kama yanapatikana. Lakini nadhani MwanaHaki ametufungua macho kiusahihi! Asante kwake!

MwanaHalisi hawatarudi hewani kwa sababu ambazo mimi ninazijua, labda watafute domain name nyingine, au wafanye utaratibu mwingine. Ukitaka kujua undani, Juanita, nitafute kwa PM.
 
MwanaHalisi hawatarudi hewani kwa sababu ambazo mimi ninazijua, labda watafute domain name nyingine, au wafanye utaratibu mwingine. Ukitaka kujua undani, Juanita, nitafute kwa PM.

Whaaaaattttttt???????
 
Back
Top Bottom