molely molly
JF-Expert Member
- Nov 28, 2011
- 317
- 30
wameleta mgao wa maji timekubali ,wakaleta mgao wa umeme tikauzoea wakaleta pia mgao wa mafuta tikachukulia poa haikutosha wakaleta mgomo wa madaktari fresh na walim wakagoma poa lakini chonde chonde jaman wasije tuletea na mgao wa ku*a au mgomo wa nyapu hapo hatutaelewana kabixa maana hizo ndizo zinatuxaidiakupunguza mawazo ya migao yote