Wote ni wale wale.Ilibidi tuache hata kununua vitu toka kwao
Hapana sio kweli mkuu , kama jisni mtanzania mwenzetu alivyo kwenda india kutafuta maisha , na ndo jinsi ilivyo kwa hawa wa kwetu , wako kwa ajili ya kutafuta maisha , usilipize ubaya kwa ubaya . binadam hatufanani