Shinto
JF-Expert Member
- Dec 6, 2010
- 1,781
- 96
Nimetafakari kwa makini juu ya maamuzi ya kamati kuu ya CDM kumshawishi Mbowe akiuzie chama magari chakavu, nimeona issue hii inashabihiana sana na lile jaribio la serikali kununua mitambo ya DOWANS! Hoja ya utetezi inayotolewa na CDM ni kuwa hayo magari yalichakaa katika shughuli za chama, haitofautiani na fact kwamba mitambo ya DOWANS ilikuja mipya tukaichakaza kwenye shughuli za serikali! Kichekesho wale waliopinga ununuzi wa mitambo ya DOWANS sasa wanaunga mkono ununuzi wa magari ya Mbowe! Ironically Zitto aliunga mkono ununuzi wa mitambo ya DOWANS sasa anapinga ununuzi wa magari ya Mbowe!