yule jamaa aliyepindua gari ya Chacha Wangwe alikuwa anaitwa nani vile?
verified user!
yule jamaa aliyepindua gari ya Chacha Wangwe alikuwa anaitwa nani vile?
Halafu Kagasheki anasema eti idadi ya watalii ni ndogo sana,vivutio vya wanyama sio issue tena mazoo yametapakaa dunia nzima haswa nchi za waarabu kwa sababu ya sera za CCm uza kila kitu na nchi ibaki kipara
najaribu kufikiria miaka mingine mitatu ijayo si hata mlima Kilimanjaro wataung'oa wakauuze
halafu hakuna ubunifu mwingine vivutio vile vile miaka nenda rudi beach,vilima,mabonde,mito ,maziwa utamaduni vyote vimeachwa tumebaki wanyama wanyama samaki vipi bwana
USD 1.8 Billion?????? 1.8 billion x 1600= Tshs 2.9 Trillion. I think that is not for only one year. Madini yetu yanaingiza bei gani kwa mwaka??? If this is true we have a long way to go.
Halafu Kagasheki anasema eti idadi ya watalii ni ndogo sana,vivutio vya wanyama sio issue tena mazoo yametapakaa dunia nzima haswa nchi za waarabu kwa sababu ya sera za CCm uza kila kitu na nchi ibaki kipara
najaribu kufikiria miaka mingine mitatu ijayo si hata mlima Kilimanjaro wataung'oa wakauuze
halafu hakuna ubunifu mwingine vivutio vile vile miaka nenda rudi beach,vilima,mabonde,mito ,maziwa utamaduni vyote vimeachwa tumebaki wanyama wanyama samaki vipi bwana
bado....
hilo wala halinishangazi sana maana twinga wetu wanavutia sana kwa kifupi serikali ndio dahifu ilitakiwa kuwarudisha nje ya kuhangaika na CHADEMA na wafuasi wake wangekuwa wanahangaikia hawa twinga wetu na wanyama waliochukuliwa kinyamela
Kuna taarifa za kuaminika kutoka kwa mmoja wa maofisa wa Safari Park iliyopo Gulshan-e-Iqbal huko Karachi Pakistan kuwa tangu wapokee Twiga na wanyama wengine kutoka Tanzania wamefanikiwa kuongeza idadi ya watalii wa ndani na nje kwa zaidi ya 260% kiasi cha kufanikiwa kukusanya zaidi ya USD 1.8Billion kwa kipindi cha mwaka mmoja!.
Nimejiuliza: Bado Serikali ya JK ina credibillity ya kuendelea kuitwa Serikali?
Wangetumia 2% tu ya nguvu wanayoitumia kupambana na CHADEMA Tanzania ingekuwa zaidi ya Geneva!
hii kwangu pia ingefanya kazi kama tu hao wanyama wangeuzwa kihalali na hizo hela zingejenga mahospitali na barabara, kwa kifupi wangeuzwa kwa faida ya Taifa. Tatizo linakuja pale ambapo mauzo hayajulikani yameishia wapi. mbona tunao tembo wengi wamebaki, wangezaliana tu. hatuhitaji mabilioni ya tembo ili watalii waje, kwani huko Pakistan wanao wengi kushinda sisi tuliowauzia?Nadhani mtakumbuka juzi Kikwete akihutubia taifa alisema anawashangaa wanaotaka mabaki ya mjusi wa kale yarudishwe. Kwa maoni yake hata yakirudishwa 'hawana manufaa nayo moja kwa moja'. Kwa mantiki hiyo, hata hao twiga waliojazana mbugani na waliochukuliwa, 'hatuna manufaa nao moja kwa moja'! Kwake, wawe nje au ndani, it doesnt matter!
Kikwete anahusika nini hapo suala ni kwamba je sisi watanzania tunacredibility ya kuendelea kujiita watanzania? suala hapa ni uzalendo wa watanzania wenyewe, siyo kila kitu Kikwete, mtu anashinda kutwa kijiweni jioni hana chakula anasema hii serikali ya JK bana, sasa ulitegemea kunaserikali ya kulea watu, fursa zipo mnatakiwa kuzitumia. Hili la twiga na wannyama wengine ni vyema sisi kama watz tujitathmini wenyewe kwanza juu ya uzalendo wetu na rasilimali tulizonazo.
Kikwete anahusika nini hapo suala ni kwamba je sisi watanzania tunacredibility ya kuendelea kujiita watanzania? suala hapa ni uzalendo wa watanzania wenyewe, siyo kila kitu Kikwete, mtu anashinda kutwa kijiweni jioni hana chakula anasema hii serikali ya JK bana, sasa ulitegemea kunaserikali ya kulea watu, fursa zipo mnatakiwa kuzitumia. Hili la twiga na wannyama wengine ni vyema sisi kama watz tujitathmini wenyewe kwanza juu ya uzalendo wetu na rasilimali tulizonazo.
wamenunua wanyama kihalali kwa kufuata taratibu zinazokubalika kimataifa (KAMA\IF) na kitaifa, sisi watanzania hatana mazoea ya kitembelea mbuga zetu......wao wamewarahisishia watu wao kwa nini wasifanikiwe kwa kitu ambacho sisi hatukifanyi??? wao wamefanikiwa Tunalia wivu