TIQO JF-Expert Member Jan 8, 2011 13,787 2,078 Jun 16, 2012 #21 Kichwa cha mwendawazimu bado msumbiji kudadadeki
PrN-kazi JF-Expert Member Feb 5, 2011 2,900 444 Jun 16, 2012 #22 hawa ma-dada wametutia aibu, kufungwa nyumbani!!!!!!
L Lusaa JF-Expert Member Sep 12, 2011 270 112 Jun 16, 2012 #23 Ndiyo maana mimi na timu za Tanzania hatuna uhusiano kabisa. Walivyokuwa wanaambiwa wanahitaji goli moja wakafikiri wameshinda tayari.
Ndiyo maana mimi na timu za Tanzania hatuna uhusiano kabisa. Walivyokuwa wanaambiwa wanahitaji goli moja wakafikiri wameshinda tayari.