Amosen
Member
- May 28, 2012
- 45
- 8
TUCHEZE GAME INAITWA....Last man standing!!
MASHARTI ...!!
1. Hakuna matusi!
2. Unaandika sentens kwa kuanzana neno la mwisho la mchangiaji aliyepita...mfa no "Mama anapika" kama ww ndiye unafuata unaanzana neno "anapika".....A napika chakula cha wafungwa......! ! mwingine ataanza na neno"wafungwa"..... ..wafungwa wengi wana ukimwi........! ! atakayekuwa wa mwisho ndiye mshindi......!!
.....NICE GAME....!
MASHARTI ...!!
1. Hakuna matusi!
2. Unaandika sentens kwa kuanzana neno la mwisho la mchangiaji aliyepita...mfa no "Mama anapika" kama ww ndiye unafuata unaanzana neno "anapika".....A napika chakula cha wafungwa......! ! mwingine ataanza na neno"wafungwa"..... ..wafungwa wengi wana ukimwi........! ! atakayekuwa wa mwisho ndiye mshindi......!!
.....NICE GAME....!