Bluray
JF-Expert Member
- Mar 25, 2008
- 3,449
- 127
Na sense watu kukata tamaa kwa kiasi flani. Kubadilisha fikra za Miafrika si lelemama.
Ukisikia watu wanamtajataja sana mungu ujue either hawajui cha kufanya na wamekata tamaa au ni maganga-ongo wanajaribu kuwashikia watu akili.
Mungu na shetani ni wewe mwenyewe binadamu, unapofanya jambo zuri unakuwa mungu, unapofanya jambo baya unakuwa shetani so to speak.
Kwa hiyo tuache hizi dua na kufanya kweli.
After all si ilisemwa "god helps those who help themselves"? which is just a subtle way of saying god is an illusion.
Kill the god idea first, then you will see things in their right perspective and deal with the situation squarely.