jchofachogenda
JF-Expert Member
- Jan 8, 2012
- 537
- 123
Nani mwenye namba ya simu ya Jesca Charles, Jamani? Mashallaaah!
Enzi hizo Leaders Bonanza kiingilio 500.
Hapo naona Luiza anaanza kuwa kinyonga ,anabadilika kutoka kuwa mweusi tii (enzi hizo akifanya kazi gereji pale garage Sinza opp na Lion Hotel) na kuwa mweupe(mthungu) mweee
Hii ni kiboko
Hapo Luiza mbutu alikuwa na ngozi yake halali sio ya sasa Artficial skin kama ya kenge.
Hapo Luiza mbutu alikuwa na ngozi yake halali sio ya sasa Artficial skin kama ya kenge.