Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,315
- 33,111
<table border="0" cellpadding="0" cellspacing="0" width="100%"><tbody><tr><td align="left"><table bgcolor="#dddddd" border="0" cellpadding="0" cellspacing="0" height="23" width="100%"><tbody><tr><td width="10">
</td> <td width="606">
</td> <td align="right" width="139">
</td> <td align="right" width="12">
</td> </tr> </tbody></table></td> </tr> <tr> <td bgcolor="#999999">
</td> </tr> <tr> <td class="shortnews" align="left" bgcolor="#ffffff" valign="top">Bendi ya African Stars Twanga Pepeta International jana walinaswa na kamera yetu wakiwajibika vikali na mazoezi katika ofisi za bendi hiyo zilizopo Kinondoni Vijana jijini Dar es Salaam. Akiongea na mwanahabari wetu, Mkurugenzi wa Kampuni ya (ASET), Asha Baraka, alisema kuwa kutokana na ratiba yenye pressure ameamua kuongeza muda wa mazoezi tofauti na walivyokuwa wakifanya siku za nyuma ambapo wanamuziki walitakiwa mazoezi kuanzia saa sita mchana na hadi saa kumi jioni, na sasa wanatakiwa kuanza mazoezi saa nne asubuhi hadi saa kumi na moja jioni.
</td></tr></tbody></table>
</td> <td width="606">
</td> <td align="right" width="139">
</td> <td align="right" width="12">
</td> </tr> </tbody></table></td> </tr> <tr> <td bgcolor="#999999">
<!--ThumbBegin-->
<!--ThumbEnd-->
Baadhi ya wanenguaji wa Twanga Pepeta wakiwajibika mazoezini.
<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
Mpiga drum wa bendi hiyo, James Kibosho, akiwa shughulini mazoezini. Aliyesimama ni mpiga tumba wa bendi hiyo ajulikanaye kwa jina la kisanii kama MCD akiwa mazoezini.
<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
Joseph Shamba Vengu (kushoto) akiwa na kiongozi wa African Stars Twanga Pepeta, Luiza Mbutu (katikati), na kulia ni mkurugenzi wa bendi hiyo, Asha Baraka.
<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
Mchekeshaji mahiri wa kundi la Orijino Komedi, Emmanuel Mgaya Masanja (kushoto aliye na kamera) akijaribu kuwapiga picha wanamuziki wa bendi hiyo wakiwa mazoezini. Kulia kwake) ni Kalala Juniour, muimbaji wa bendi hiyo.
<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
Joseph Shamba Vengu (aliyesimama) akiongea kwa msisitizo mkali na mataalam wa tiba za jadi maarufu kwa jina la Manyaunyau wakiwa katika Kinyaiya Pub iliyo karibu na ofisi za (ASET).
<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
Kalala Juniour akimlisha firigisi mchekeshaji Vengu muda mfupi baada ya kupumzika mazoezi.
<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
Alex Chalamila Mac Reagan akigandamiza kinanda katika shughuli hizo za kurekodi.
ORIJINO KOMEDI WAKIREKODI KIPINDI
KIKUNDI cha vichekesho cha Orijino Komedi kinachorushwa hewani kupitia luninga ya TBC1 jana kilinaswa na mpiga picha wetu kikirekodi kipindi ndani ofisi za ASET Kinondoni jijini Dar es Salaam.
<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
Isaya Mwakilasa Wakuvanga akipiga gitaa na kuporomosha songi la nguvu wakati Emmanuel Mgaya Masanja akiwa katika harakati za kurekodi kipindi hicho.
<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
Joseph Shamba Vengu akiwa siriazi na gitaa la bass katika moja ya shughuli za kuwezesha kipindi chao kwenda hewani vizuri.
<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
Mpiga picha wa kundi la Orijino Komedi aliyejitambulisha kwa jina moja la Kissoky, (kushoto) akiwa na Masanja (katikati) na Rogert Hegga mwanamuziki Twanga Pepeta ndani ya Kinyaiya Pub muda mfupi baada ya kutoka mazoezini.
Baadhi ya wanenguaji wa Twanga Pepeta wakiwajibika mazoezini.
<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
Mpiga drum wa bendi hiyo, James Kibosho, akiwa shughulini mazoezini. Aliyesimama ni mpiga tumba wa bendi hiyo ajulikanaye kwa jina la kisanii kama MCD akiwa mazoezini.
<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
Joseph Shamba Vengu (kushoto) akiwa na kiongozi wa African Stars Twanga Pepeta, Luiza Mbutu (katikati), na kulia ni mkurugenzi wa bendi hiyo, Asha Baraka.
<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
Mchekeshaji mahiri wa kundi la Orijino Komedi, Emmanuel Mgaya Masanja (kushoto aliye na kamera) akijaribu kuwapiga picha wanamuziki wa bendi hiyo wakiwa mazoezini. Kulia kwake) ni Kalala Juniour, muimbaji wa bendi hiyo.
<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
Joseph Shamba Vengu (aliyesimama) akiongea kwa msisitizo mkali na mataalam wa tiba za jadi maarufu kwa jina la Manyaunyau wakiwa katika Kinyaiya Pub iliyo karibu na ofisi za (ASET).
<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
Kalala Juniour akimlisha firigisi mchekeshaji Vengu muda mfupi baada ya kupumzika mazoezi.
<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
Alex Chalamila Mac Reagan akigandamiza kinanda katika shughuli hizo za kurekodi.
ORIJINO KOMEDI WAKIREKODI KIPINDI
KIKUNDI cha vichekesho cha Orijino Komedi kinachorushwa hewani kupitia luninga ya TBC1 jana kilinaswa na mpiga picha wetu kikirekodi kipindi ndani ofisi za ASET Kinondoni jijini Dar es Salaam.
<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
Isaya Mwakilasa Wakuvanga akipiga gitaa na kuporomosha songi la nguvu wakati Emmanuel Mgaya Masanja akiwa katika harakati za kurekodi kipindi hicho.
<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
Joseph Shamba Vengu akiwa siriazi na gitaa la bass katika moja ya shughuli za kuwezesha kipindi chao kwenda hewani vizuri.
<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
Mpiga picha wa kundi la Orijino Komedi aliyejitambulisha kwa jina moja la Kissoky, (kushoto) akiwa na Masanja (katikati) na Rogert Hegga mwanamuziki Twanga Pepeta ndani ya Kinyaiya Pub muda mfupi baada ya kutoka mazoezini.
</td></tr></tbody></table>